Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah bora unapicha yake iyo mashine uitume niione aise.
Nadhani utapata.. mimi nilinunua dodoma elf 8 kwa Dar unaweza kupata bei pungufu ya hapohii mashine nikienda kariakoo ntapta
Mara mbili kwa wiki unaona shida? Mi nanyoa kila siku. Ila nina mashine yangu nyumbani. Yaani napenda kidevu changu nikishika nisisikie kitu kinachomachoma. Kitu soft kabisaHabari wakuu.
Sasa nanyoa ndevu mara 2 kwa week wakuu yaani barakoa imekuwa tabu kweli kwangu.
Wenye ndevu wenzangu hali ipoje kwenye hili?
Fuga hizo ndevu weweHabari wakuu.
Sasa nanyoa ndevu mara 2 kwa week wakuu yaani barakoa imekuwa tabu kweli kwangu.
Wenye ndevu wenzangu hali ipoje kwenye hili?
Kumbe tuko wengu mkuu,mimi kila siku lazima machine ipite kwenye kidevu...Mara mbili kwa wiki unaona shida? Mi nanyoa kila siku. Ila nina mashine yangu nyumbani. Yaani napenda kidevu changu nikishika nisisikie kitu kinachomachoma. Kitu soft kabisa