Tit 4 Tat
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 737
- 997
Ila naskia ukinyoa mara kwa mara kakidevu kanakomaa Kama goti la nungunungu.... Ni kweli?...Mara mbili kwa wiki unaona shida? Mi nanyoa kila siku. Ila nina mashine yangu nyumbani. Yaani napenda kidevu changu nikishika nisisikie kitu kinachomachoma. Kitu soft kabisa