Barakoa zimepanda bei gafla

Ngonidema

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
2,720
Reaction score
2,688
Wauzaji wa vifaa vya kujinginga na gojwa hatari la covid 19, wamepandisha bei za barakoa (mask) zile zilizokuwa zinauzwa shiling 1000 /= zimepandishwa kwa sasa ni elfu tatu (3000/=), ukiwauliza wanasema na wao wapandishiwa kodi na serikali, kama ni kweli serikali mna nia gani na watanzani?
 
Ni utekelezaji wa sera ya "Expect No Mercy"
 
Hivi zile za mafundi fenicha hazifanyi kazi?



It's Scars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…