Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa upande wangu sikuwa dissapointed na hili baraza kwa sababu tangia mwanzo sikuwa na mategemeo ya kitu kipya. Kifupi I had no legitimate expectations kwamba JK will make a meaningful changes. Kuna wale watakofikiri kwamba tunaponda tuu hatusemi mazuri kwa muungwana, lakini ukweli unabaki pale pale na wengine tunaandika hapa simply because hawa mawaziri wanalipwa kodi zetu na wengi wao utendaji wao tunaufahamu. We are the ultimate victims of their incompetence and hopeless decisions. A person like Chenge sioni lolote alilolifanya..a simple test ya barabara ya Sam Nujoma ambayo ni KM hazifiki tano mpaka leo inaingia mwaka wa tatu haijaisha...sasa jamani ataweza kutengeneza ya Lusahunga to Kasulu/Kibondo? ambako sidhani kama ameshawahi hata kufika?, si Raisi anatudanganya? au?
Well, he knows better as he or his apologetics would want us to believe, but if this is the so called "dream team" I honestly dont see any hope for the future! Mwinyi ni daktari..leo yuko Ulinzi..kweli with critical shortage ya madaktari are we not under ustilizing the little we have for political expediency? You guys, Kikwete has had enough experience to know this...we are no longer in the age of trial and error! JK ought to be more serious.
And it seems we dont have consistency in governance..though we had had the same ruling party...this is the man who came to power and established gazillion of ministries...only to find out that it was a futile decisions (he wanted to reward his people?)..sasa leo anazifuta some of those wizara..vipi kuhusu policies ambazo wameshaanza kutengeneza na mengineyo....Jamani sijui when shall we really start working for this country, maana naona kila kiongozi yuko kwenye majaribio..
The good side I see is the exclusion of Meghji, Mwapachu, Mramba, Diallo ET AL! And perhaps with Magufuli incharge of our fish pale home (mwanza)..we are not going to eat MAPANKI anymore..Lol!
By the way Mwanakijiji is Masha a "Dr" I know is the LL.M graduate from Georgetown! When and where did he get his udokta? (atleast this was a more sensible appointment...)
NB: Tuweke CV za hawa wateule tuzichambue na kuangalia record zao....(kwa wale ambao hatuwajui....)
..kwa haraka haraka, niko-disspointed na wizara ya fedha. kwa kweli tunahitaji a reputable technocrat with international exposure kuongoza hiyo wizara. nilitegemea atateuliwa mtaalamu anayeweza kwenda pound-for-pound na watu kama Dr.Ndulu wa BOT, Dr.Dau wa NSSF, na Dr.Mboya wa CMSA.
..wizara ya utalii na maliasili nayo inahitaji watu energetic na creative kuitangaza Tanzania ktk mazingira ya utandawazi. pia panahitajika mtaalamu wa masuala ya wanyama na conservation kama naibu waziri. sidhani kama Raisi amelizingatia hilo.
..kuna mawaziri/naibu wenye sifa kama Dr.Kawambwa,Prof.Mwakyusa,Martin Chikawe,Chrisptopher Chiza[mtaalamu wa irrigation], Mary Nagu[ukiondoa udaktari feki].
..halafu Balozi Kagasheki si alikuwa na matatizo ya tuhuma za rushwa geneva? JK amemteua wa nini kuwa naibu waziri mambo ya ndani?
..Dr.Hussein Mwinyi amepewa wizara nyeti. nadhani huyu anaandaliwa kwa nafasi kubwa zaidi. Huenda akamrithi Karume au Kikwete.
..viongozi wa CCM wa baadaye ni kama Dr.Laurian Masha,Dr.Hussein Mwinyi, Dr.Deusdedit Kamala,Dr.David Mathayo,Dr.Ngeleja,Dr.Adam Malima,Dr.Cyril Chami. hawa ndiyo watakaopambana na kina Mwanakijiji,John Mnyika,Kitila Mkumbo, na Zitto Kabwe.
Jokakuu,
Mkuu hii analysis yako imeenda shule kichizi. I wish hii post yako angeiona JK kabla ya kutangaza baraza lake lakini wapi water under the bridge....
Huko nyuma tuliwahi kupiga kelele sana kuwa tatizo sio tu ufisadi bali kufuja pesa za umma, kushindwa kumpanga mtu kwa nafasi yake nako kuna tugharimu sana.
Huna haja ya kwenda mbali kuliona hili kila mtu anajua utendaji wa Sarungi pale afya, Maghufuri pale ujenzi to mention the few.
Nachelea kusema mengi kuhusu baraza hili jipya lakini honestly kwa maoni yangy kuna mkorogo mwingi lakini hili la Mkulo kuwa Fedha, kurudishwa kwa Chenge, Msola, Kapuya nk nina cast big doubt lakini lets wait and see
Masatu,
..I was hoping for a "DREAM TEAM". I dont think i can refer this cabinet as such.
Jokakuu...
mwenzako hapa nimekosa kabisa cha kusema ila tu ninafurahi Mramba ametoka na labda watanzania watapumzika kula nyasi!
Hongera sana mh RAIS kwa barza lako ila kumuweka ndani ya baraza lako mh MARMO umechafua kabisa ,sikulaumu ila nadhani haukushauriwa vyema,MARMO ni FISADI,aliuza hadi mbuga ya wanyama ambalo ni eneo la WAHAZABE,na kuwauzia mtoto wa mfalme wa SAUDIA na kupew pesa nyingi tu kwa ajiri ya UCHAGUZI wa ubunge na kujikampenia katika jimbo lake, na USHAHIJI ninao,pia ni mtu anayependa hata pesa ndogondogo,za dili na waharifu,na hata kama umepewa UWAZIRI, chonde chonde MH WAZIRI MKUU MTEULE MIZENGO PINDA mwangalie MARMO kwa jicho la TOFAUTI tena katika UANGALIZI MKUBWA,asikuchafulie ofisi,aidha nakushauri fuatilia DATA zake UTAKUBALIANA NAMI.
Unajua wakati mwingine ukiwa huna information unaamini ulichonacho ndio BEST.
Kenya na Uganda wana Wizara moja ya Elimu!!! Naomba nikusaidie na hii ya Uganda
Pia kuwa makini kidogo kusikiliza yote kwa makini. Wizara hii ina Manaibu wawili...
1. Kabaka --- ambaye atashughulikia elimu ya juu....
2. Mahiza --- Ambaye atashughulikia elimu ya awali, primary, Sekondari na Ufundi
3. Kila wilaya itakuwa na maafisa Elimu wawili... wa awali na primay... na wa Sekondari na Ufundi... details will follows... later
Hongera sana mh RAIS kwa barza lako ila kumuweka ndani ya baraza lako mh MARMO umechafua kabisa ,sikulaumu ila nadhani haukushauriwa vyema,MARMO ni FISADI,aliuza hadi mbuga ya wanyama ambalo ni eneo la WAHAZABE,na kuwauzia mtoto wa mfalme wa SAUDIA na kupew pesa nyingi tu kwa ajiri ya UCHAGUZI wa ubunge na kujikampenia katika jimbo lake, na USHAHIJI ninao,pia ni mtu anayependa hata pesa ndogondogo,za dili na waharifu,na hata kama umepewa UWAZIRI, chonde chonde MH WAZIRI MKUU MTEULE MIZENGO PINDA mwangalie MARMO kwa jicho la TOFAUTI tena katika UANGALIZI MKUBWA,asikuchafulie ofisi,aidha nakushauri fuatilia DATA zake UTAKUBALIANA NAMI.
Anti:
Mramba anatoka kwenye mojawapo ya majimbo ya watu waliosoma sana Tanzania. Kuna watu kutoka jimboni kwake hapa JF ambao hawataki yeye kuwa kwenye baraza la mawazari lakini wanamchagua kuwa mbuge. Je huoni kuwa matatizo mengine yako-down kwa sisi wananchi?
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI NI:
Ofisi ya Rais
Utawala Bora-Sophia Simba
Menejimenti ya Utumishi wa Umma-Hawa Ghasia.
Ofisi ya Makamu wa Rais
Muhammed seif Khatib
Mazingira-Dk Batilda Burian
Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri wa Nchi (Sera), Uratibu na Bunge)-Philip Marmo.
Waziri wa Nchi (Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa)-Steven Wassira. Naibu Waziri-Celina Kombani.
Mipango na Fedha
Mustafa Mkullo
Naibu Waziri-Jeremia Sumari
Naibu Waziri-Omar Yusuf Mzee.
Afya na Ustawi wa Jamii
Profesa Mwakyusa
Naibu Waziri-Dk Aisha Kigoda
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
John Chiligati
Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Profesa Jumanne Maghembe
Naibu Waziri-Gaudensia Kabaka
Nabu Waziri-Mwantumu Mahiza
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Dk Shukuru Kawambwa
Naibu Waziri-Dk Maua Daftari
Mindombinu
Andrew Chenge
Naibu Waziri-Dk Milton Mahanga
Habari, Utamaduni na Michezo
George Huruma Mkuchika
Naibu Waziri Joel Bendera
Kazi, Ajira na Maendeleo ya vijana
Profesa Juma Kapuya
Naibu Waziri-Hezekiah Chibulunje
Maji na Umwagiliaji
Profesa Mark Mwandosya
Naibu Waziri-Christopher Chiza.
Kilimo, Chakula na Ushirika
Profesa Peter Musola
Naibu Waziri-Dk Matayo David Matayo.
Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Margareth Sitta
Naibu Waziri-Dk Lucy Nkya
Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
John Magufuli
Naibu Waziri-Dk James Wanyancha
Maliasili na Utalii
Shamsa Mwangunga
Naibu Waziri-Ezekiel Maige
Mambo ya Ndani
Lawrence Masha
Naibu Waziri-Hamisi Kagasheki
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Bernard Membe
Naibu Waziri-Seif Ali Iddi
Nishati na Madini
William Ngeleja
Naibu Waziri-Adamu Malima.
Katiba na Sheria
Mathias Chikawe
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Dk. Hussein Mwinyi
Naibu Waziri-Dk Emmanuel Nchimbi
Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dk. Deodorius Kamala
Naibu Waziri Mohamed Aboud
Viwanda Biashara na Masoko
Dk Mary Nagu
Naibu Waziri-Dk Cyril Chami