Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Huko twittani nimekuwa nakumbana na post mbalimbali za Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Inaonyesha wanaongeza kasi ya kuonekana katika mitandao. Nawapongeza kwa hilo.
Tatizo moja ninaloliona ni kuwa kila mara nikiziona post zao, mara moja nadhania ni habari kutoka Mamlaka ya Mapato, TRA maana rangi wanazotumia zinafanana sana.
Nadhani kwa BAKITA hizi rangi za njano na nyeusi ingekuwa vyema wangezibadilisha ili kuepuka huu mkanganyiko. Wawaachie TRA maana ndiyo tumeshazoea wao kutumia hizo.
Tatizo moja ninaloliona ni kuwa kila mara nikiziona post zao, mara moja nadhania ni habari kutoka Mamlaka ya Mapato, TRA maana rangi wanazotumia zinafanana sana.
Nadhani kwa BAKITA hizi rangi za njano na nyeusi ingekuwa vyema wangezibadilisha ili kuepuka huu mkanganyiko. Wawaachie TRA maana ndiyo tumeshazoea wao kutumia hizo.