Pre GE2025 Baraza kuu la UWT Same lampongeza Rais Dkt. Samia

Pre GE2025 Baraza kuu la UWT Same lampongeza Rais Dkt. Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Baraza kuu la UWT Wilaya ya Same lampongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumtunuku cheti Cha Pongezi kwa kazi nzuri anazofanya kwa wanachi huku wakimpongeza kwa kuteuliwa Kuwa Mgombea Pekee wa Nafasi ya Urais na kumuahadi kuendelea kusema Yale mazuri yote aliyofanya ndani ya kipindi Cha Serikari yake.

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?

Cheti hicho cha Pongezi kimepokelewa na katibu wa CCM Wilaya ya Comrade Amos kusakula

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

IMG_3179.jpeg


IMG_3180.jpeg
 
Baraza kuu la UWT Wilaya ya Same lampongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumtunuku cheti Cha Pongezi kwa kazi nzuri anazofanya kwa wanachi huku wakimpongeza kwa kuteuliwa Kuwa Mgombea Pekee wa Nafasi ya Urais na kumuahadi kuendelea kusema Yale mazuri yote aliyofanya ndani ya kipindi Cha Serikari yake.
View attachment 3243631
Cheti hicho cha Pongezi kimepokelewa na katibu wa CCM Wilaya ya Comrade Amos kusakulaView attachment 3243633
CCM ni kikundi cha kupika unafiki ,wanacho kisema mdomoni sicho kilichopo moyoni
 
Back
Top Bottom