Baraza la Famasi Tanzania lafuta Matokeo yote ya Mtihani wa leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu kutokana na udanganyifu

Baraza la Famasi Tanzania lafuta Matokeo yote ya Mtihani wa leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu kutokana na udanganyifu

nyamchele

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2014
Posts
1,325
Reaction score
1,034
Baraza la Famasi limefuta matokeo ya watahiniwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu.

Watahiniwa hao sasa watalazimika kurudia mtihani hiyo mwezi July 2024. Barua kutoka Baraza la Famasi imeambatanishwa kwa urahisi wa rejea.

Hatua hii imefikiwa ili kuhakikisha kuwa na wanataaluma wenye sifa na weledi katika viwango vilivyowekwa kabla ya kusajiliwa na kutoa huduma za dawa ili kulinda afya na usalama wawagonjwa wanaowahudumia.
 

Attachments

Baraza la Famasi limefuta matokeo ya watainiwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu. Watahiniwa hao sasa watalazimika kurudia mtihani hiyo mwezi July 2024. Barua kutoka Baraza la Famasi imeambatanishwa kwa urahisi wa rejea.....
Kila siku kesi hizihizi mamlaka zinafanya jitihada gani
 
Baraza la Famasi limefuta matokeo ya watainiwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu. Watahiniwa hao sasa watalazimika kurudia mtihani hiyo mwezi July 2024. Barua kutoka Baraza la Famasi imeambatanishwa kwa urahisi wa rejea.....
HAWA WANA SHIDAAA HAWEZEKANI MA DK MUWAFELISHE WOTE

HAWA MUWAFUTIE MATOKEO HUU N UJINGAA NENDEN MAHAKAMAN HAKUNA UWEZO WA WOTE HAWA KUFANYA UDANGANYIFU SHIKAMANENI NENDEN MAHAKAMAN WAONYESHE MITIHAN YOTE ILIYODANGANYWA ALLAH MNACHEZA NA MAISHA YA WATU
 
Baraza la Famasi limefuta matokeo ya watahiniwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu. Watahiniwa hao sasa watalazimika kurudia mtihani hiyo mwezi July 2024. Barua kutoka Baraza la Famasi imeambatanishwa kwa urahisi wa rejea.....
HII MITIHAN INATOKEA KWAOOO

SASA KAMA KUNA UDANGANYIFU JIULIZEN HAO WALIOWAUZIAA MITIHANI WAMETOKEA WAPI??

MNAFANYA WATU WAHUNI ,,CHANZO N NYIE WENYEWE BADILIKEN MNAPIGA HELA ZA WANAFUNZI ALAFU MNAKUJA KUWATESA
 
Baraza la Famasi limefuta matokeo ya watahiniwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu. Watahiniwa hao sasa watalazimika kurudia mtihani hiyo mwezi July 2024. Barua kutoka Baraza la Famasi imeambatanishwa kwa urahisi wa rejea.....
Mbona hakuna barua yenyewe mkuu
 
Kila sehemu wizi tu.kunautafiti ulifanyika inaonesha watanzania Wanakufa kutokana na maelekezo yasiyo sahihi ya wafamasia namna ya kutumia hizo dawa
Kuna chuo kule Morogoro mwanafunzi alimpa maelekezo mgonjwa anywe dawa ya upele ya kupaka.

Nadhani mamlaka husika zimeshindwa kudhibiti endeshaji wa vyuo ndio maana vinashamiri halafu unakuta havijitoshelezi kukidhi vigezo vya kutoa mafunzo kikamilifu.
 
Kuna chuo kule Morogoro mwanafunzi alimpa maelekezo mgonjwa anywe dawa ya upele ya kupaka.

Nadhani mamlaka husika zimeshindwa kudhibiti endeshaji wa vyuo ndio maana vinashamiri halafu unakuta havijitoshelezi kukidhi vigezo vya kutoa mafunzo kikamilifu.
Ndio maana wanafeli mno kwenye mitihani ya leseni.....angalia matokeo ya kaka zao......Serikali ikaze hivyohivyo kwa kurekebisha mapungufu na isirudi nyuma kwenye hili
 

Attachments

  • IMG-20240518-WA0011.jpg
    IMG-20240518-WA0011.jpg
    123.6 KB · Views: 21
  • IMG-20240518-WA0012.jpg
    IMG-20240518-WA0012.jpg
    163.6 KB · Views: 20
Kuna mwamba kasoma Lovely Professional University cha India, kuingiza tu pua - FAIL. How can you even pass kwa jina tu. 😆
 
Back
Top Bottom