tarehe 21\08\2013 saa 11:40 jioni katika Viwanja vya Kizwite ni jinsi baraza la Katiba la Chadema lilivyopokelewa mjini Sumbawanga na kuungwa mkono.
Ilikuwa Hoja kwa Hoja: na Hoja kwa Hoja kweli si mchezo. Unaiona Kazi nzuri sana kwa Msaada wa Mungu kupitia Chama cha Chadema na Makamanda wasiochoka watu wanapata darasa la kutosha. SI MCHEZO.
Ilikuwa Hoja kwa Hoja: na Hoja kwa Hoja kweli si mchezo. Unaiona Kazi nzuri sana kwa Msaada wa Mungu kupitia Chama cha Chadema na Makamanda wasiochoka watu wanapata darasa la kutosha. SI MCHEZO.