Napendekeza katiba ijayo iweke kikomo cha safari kwa viongozi wa kitaifa ili kuepuka hii hali ya viongozi wetu kujiamria safari ambazo hata kwenye bajeti kuu ya serikali zinasababisha ongezeko kubwa la pesa ambazo badala ya kupelekwa sehemu zingine zenye mahitaji muhimu zaidi kama afya, elimu, maji na kilimo