Baraza la madiwani Arusha lashindwa kukaa tena

Duh, ww kweli mchicha mwiba, unamsubiri pinda afanye nn wakati aliisha lielezea hili suala bungeni kwa ufasaha ? suluhisho la hapo ni CDM kwenda mahakamni tu, uwoga wa nn na huko ndiko haki inakopatikana?
ungejua ninavyo upenda hasa ukiuchanga na nyama ya Mbuzi halafu iwe ya mbavu....Pinda bado anaweza kuokoa jahazi...kama atasimamia haki na sheria....naamini Alhami ijayo kwenye maswali ya papo kwa papo litaibuka...mahakamani hatuendi!?...mbona watu wa Tegeta jana hawakwenda mahakamani....
 


Kwanini iwe leo na si majuzi? to me that was short notice kwa mambo makubwa kabisa,

Nahisi umesahau kitu hapo kwenye red naomba malizia endapo ushawishi huo ulikuwa empty handed maana twawajua wana fungu kubwa kwa kazi ya kushawishi
 
Hapo sasa uhuni wa serikali ya Jakaya ndo unapodhirika, watu wa Arusha ni waelewa wala hawadanganyiki na upuuzi wa ccm, Arusha shikilieni hapo hapo hadi kieleweke.
 


Mr. Nanyaro, naomba kujua kama na wewe ni diwani huko Arusha.

Kama ndio, karibu uendelee kutujuza mhe:
 
Pinda angeitisha uchaguzi huru jamani kashshe iishe kwa nini wanaziba masikio na pamba,wanataka kuifanyaje Geneva of Africa
walisema tuanzishe bendi..tumeianzisha mbona kucheza hawaweziii!
 
Ni vizuri tungepata taarifa rasmi. Ikiwezekana mapema ili umma wote ujue pasina doa la shaka kuwa pamoja na ccm kujaribu kufunika, tena kwa gharama kubwa, ile dhambi yao, lakini ukweli umabakia na utabakia kuwa CHADEMA walikuwa na haki na watabaki na haki juu ya uchaguzi haramu wa mayor Arusha.

Swali Arusha kuna maslahi gani kiasi hicho? Mbona CCM wamekuwa na wazimu kiasi hiki? Nilisoma wakati ule kuwa CCM walidai mbunge wa viti maalum hana mkoa (au hafungwi na mkoa...) sasa si wangewakusanya toka mikoani wawapeleke kutimiza quoram. Why can't ccm foresee that such comical tactic would only backfire in light of truth? They're surely in the last chance saloon
 
Maybe combinnation of Hiza/Makamba would be ushered to spin. Keep the news flowing
 
Hao madiwani tumewachagua watutumikie, siyo kufanya usanii kwenye masuala muhimu.
Huo ni uhuni wanatufanyia sisi wapigakura wao.
Sasa tumewaelewa. Hatutadanganyika tena kuwachagua.

Watu wengine bana, hawan uchungu na hii nchi kabisa, hivi wanashindwa nini kuwasikiliza wananchi wa Arusha wanataka nini?

Majuzi wanasema eti CDM inawapa watu hela ndio maana wanaenda watu wengi kwenye maandamano yao, Ukiwaambia thibitisha wanakaa kimya.

Jana wanasema oh, CDM imewaleta wafuasi wake wengi na wanachuo kuja kuwazommea viongozi wa CCM, kumbe ni baada ya viongozi hao kuanza kufanya usanii.

huu mwaka watakimbia nchi, maana CCM haitaki kusikia wannchi wantaka nini.
 
Hao madiwani tumewachagua watutumikie, siyo kufanya usanii kwenye masuala muhimu.
Huo ni uhuni wanatufanyia sisi wapigakura wao.
Sasa tumewaelewa. Hatutadanganyika tena kuwachagua.

Madiwani wapi kuwa specific ili ueleweke. Wa CCM au CHADEMA? wakae wapitishe bajeti wakiongozwa na meya yupi? aliyepatikana bila akidi kutimia? na wakae wapitishe hivo bajeti bila akidi kama walivyomchagua waje waone! ukimwaga mboga namwaga ugali haya sasa
 
Natamani ningekuwa diwani wa ccm ili niwapigie cdm kura ya muarudio. Halafu tuone.:bored:
 
Nina mashaka kama kweli hata kura ulipiga wewe
Hao madiwani tumewachagua watutumikie, siyo kufanya usanii kwenye masuala muhimu.
Huo ni uhuni wanatufanyia sisi wapigakura wao.
Sasa tumewaelewa. Hatutadanganyika tena kuwachagua.
 
Natoa suluhisho, ''EWE MAKAMBA, NINAKUAGIZA MARA 1 UTWEKE HATA VILINDINI, VICHOCHORON NA NJIA PANDA UWATAFUTE AKINA VYA-TANDA WOOOTE WAJE WATIMIZE UNABII WA ANGUKO LA CCM MAANA KAZI WALOIANZA NI TAKATIFU NA UTIMILIFU WAKE UPO MIKONONI MWAO!!!''
 
.........Nadhani hii ni moja ya ushahidi wa Lema kuwa mtoto wa mkulima asiye mkulima Pinda aliongea uongo bungeni...Mungu amfichi mnafiki...
 
Mwenye Busara Dr. Mmoja alisema "kama wao wamemwaga ugali, sisi tutamwaga mboga", hawakumuelewa, sasa ndo watapata akili mu-kichwa alikuwa ana maana gani!

Fake politicians always thinking within the box to make a deal but Real politicians thinking in & out the box to save the Nation!
 
Dr. Slaa semaa usiogope semaa! Ahsante nimefarijika kwa ulivyochangia! Ahsante!
 
Kikao cha baraza la madiwani arusha cha kupitisha bajeti kimeshindwa kukaa baada ya madiwani wa chadema kukataa kurejista,hali iliyofanya akidi kutotimia
Sheria inataka bajeti ipitishwe na theluthi mbili

Itakuwa CDM nao walipata habari za kiitelejensia ndo mana waligoma kujirejista!! natania wazee, peoples power itaumbua ubabe wa Mafisadi. ila mwenye habari kamili atujuze why CDM waligoma kurejista?
 
Hao madiwani tumewachagua watutumikie, siyo kufanya usanii kwenye masuala muhimu.
Huo ni uhuni wanatufanyia sisi wapigakura wao.
Sasa tumewaelewa. Hatutadanganyika tena kuwachagua.

wewe kishongo acha uchimvi!hukai arusha waachie wana-arusha mambo ya arusha!
 

Nawakubali ila Rais wetu akishinda tena na kuporwa kura kama ilivyokuwa na akakubali tutawa-ivorycoast! Hapo tu ndipo mliniudhi, ukombozi hauji kirahisi! Pambaneni mlio tumaini letu mkiongozwa na mwenyenzi Mungu
 

Kama bajet inashindikana kwa ajili ya Quorum watueleze quoram ya uchaguzi ilitoka wapi ? Asante Dr Slaa kwa kuliweka wazi hili. Naamini wizi walioufanya utawatokea puani siku moja.

Niseme asante kwa kazi nzuri unayoifanya ya kutetea haki za Watanzania. Jua kwamba upo moyoni mwangu na ninakuombea Neema na Baraka tele kwa yote unayolifanyia Taifa letu. Keep it up and may God bless you !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…