Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
ungejua ninavyo upenda hasa ukiuchanga na nyama ya Mbuzi halafu iwe ya mbavu....Pinda bado anaweza kuokoa jahazi...kama atasimamia haki na sheria....naamini Alhami ijayo kwenye maswali ya papo kwa papo litaibuka...mahakamani hatuendi!?...mbona watu wa Tegeta jana hawakwenda mahakamani....Duh, ww kweli mchicha mwiba, unamsubiri pinda afanye nn wakati aliisha lielezea hili suala bungeni kwa ufasaha ? suluhisho la hapo ni CDM kwenda mahakamni tu, uwoga wa nn na huko ndiko haki inakopatikana?