Baraza la madiwani Halmashauri ya Rombo lahamia CCM

Baraza la madiwani Halmashauri ya Rombo lahamia CCM

Katika muendelezo wa opersheni kali ya kuifuta Chadema mwenyekiti wa UVCCM Taifa amewapokea madiwani zaidi ya 27 wa baraza la madiwani halmashauri ya Rombo ambao wamajiunga CCM na kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais Magufuli.

Huu ni mwanzo tu...kazi inaendelea
Baada ya miaka takribani 60 ya uhuru mna jipya gani ambalo mtanzania anaweza kujivunia?

Sana sana ni kuwaongezea umasikini na ujinga
 
Waache waendelee kujipiga sindano ya ganzi
Mwendelezo wa upumbafu na ujinga, bado mnajidanganya mtarudia ya serikali za mitaa 99%!? Tutajuta pamoja.
 
Ni yesu Kristo wa lumumba
Siku chadema ikifa hivyo mnavyotaka na kutamani mjue hata ccm hiyo haitakuwa na wanachama tena na mtaanza kuvurugana wenyewe mwisho wake itakuwa ni kuiingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe... Endeleeni kusifu na kumuimbia pambio Bwana yesu kristo wa Tanzania
 
Naona Prof Mkenda anachukua Ubunge wa Rombo bila jasho
 
Siku chadema ikifa hivyo mnavyotaka na kutamani mjue hata ccm hiyo haitakuwa na wanachama tena na mtaanza kuvurugana wenyewe mwisho wake itakuwa ni kuiingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe... Endeleeni kusifu na kumuimbia pambio Bwana yesu kristo wa Tanzania
Mbona CCM ilishawahi kuwa peke yake na hakukuwa na hivyo vita?
 
tindo viwanda zaidi ya 8000 vimeanzishwa...umemsikia PM Leo
 
Back
Top Bottom