Baraza la madiwani Halmashauri ya Rombo lahamia CCM

Baada ya miaka takribani 60 ya uhuru mna jipya gani ambalo mtanzania anaweza kujivunia?

Sana sana ni kuwaongezea umasikini na ujinga
 
Waache waendelee kujipiga sindano ya ganzi
Mwendelezo wa upumbafu na ujinga, bado mnajidanganya mtarudia ya serikali za mitaa 99%!? Tutajuta pamoja.
 
Ni yesu Kristo wa lumumba
 
Naona Prof Mkenda anachukua Ubunge wa Rombo bila jasho
 
Mbona CCM ilishawahi kuwa peke yake na hakukuwa na hivyo vita?
 
tindo viwanda zaidi ya 8000 vimeanzishwa...umemsikia PM Leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…