Baraza la madiwani Halmashauri ya Rombo lahamia CCM

Mabadiliko?
Kufanya siasa mahali ukiwa peke yako kwa miaka minne na bado unaishi kwa kuitumainia POLICCM ndio ya kujivunia??
Wasaka tonge watakuja wingi wao.
Nguvu ya wananchi bado iko CHADEMA. Ulaghai na ukandamizaji wenu hautatui matatizo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…