Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri

Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.

NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Kwani watoto pendwa nao wataenda kwa sangoma?
 
Watendaji anaowaona wabovu hana uwezo wa kuwatumbua maana wanaripoti kwa aliyewatuma kwake wateuliwe!

We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when a men are afraid of the light." -Plato.
 
Back
Top Bottom