Elections 2010 Baraza la mawaziri la Dr slaa

Elections 2010 Baraza la mawaziri la Dr slaa

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
Wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote CHADEMA na Dr Slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.
 
mambo yandani mrema Augustinon TLP, Uchumi LIPUMBA, BIASHARA VIWANDA CHEYO MAPESA , SHERIA MTIKILA, MAMBO YA NJE ZITO KABWE, WAZIRI MKUU MBOWE. WANAWAKE NA WATOTO ANA..TAMWA
 
Hayawahusuuuuuuuuu..... Nani kakwambia atakuwa na wabunge wachache?????????????


Hatudanganyiki 2010
 
wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote chadema na dr slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? Hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.

acha uchuro wewe! Chadema wamesimamisha wagombea kwenye majimbo 187 unajua watapata viti vingapi vya bunge? Na baraza la mawaziri la dr slaa litakuwa dogo, mawaziri 20 tu, vile vile raisi anaruhusiwa kikatiba kuteua wabunge 10, bado kuna wabunge wa viti maalumu nafasi kibao, bado hujaelewa kijana? Baadae tutaanza mchakato wa kubadili katiba ili kuwafanya mawaziri kutotokana na wabunge! Hivyo raisi ataweza kuchagua mawaziri nje ya bunge ili waweze kuwajibika ipasavyo kwa bunge
 
Wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote CHADEMA na Dr Slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.

Umetumwa wewe si bure!!
 
Wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote CHADEMA na Dr Slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.
Lafudhi kama MS vile.
 
Wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote CHADEMA na Dr Slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.
MMeshafanya uchaguzi wenu wa ndani sasa mnakuja kutuhadaa ili mjue tunajua nini.
Waliokutuma wamepotoka
 
Majibu ya executive yanatosha sina haja ya kuongezea.
Out of 187 ata akipata wabunge mia then out of mia mawaziri 20 watatoka umo.
Ila namshauri for the sake of buidling our nation which is so behind kuna haja ya kuunganisha nguvu kwa kuchukua ata watu competent toka vyama vingine as wote tuu watanzania.
Uyu kijana ananikumbusha swali la Kasesera kwa ITV mdaharo wa wabunge vijana alipouliza mbona CHADEMA WATAKUWA NA WABUNGE WACHACHE.
Zito akamjibu mbona ata uchaguzi bado umejuaje kama tutapata wabunge wachache
 
mambo yandani mrema Augustinon TLP, Uchumi LIPUMBA, BIASHARA VIWANDA CHEYO MAPESA , SHERIA MTIKILA, MAMBO YA NJE ZITO KABWE, WAZIRI MKUU MBOWE. WANAWAKE NA WATOTO ANA..TAMWA

Hizi ambazo ziko kwenye red, are you serious????????? Cheyo, do you really know him??? Huyu ni tapeli kuliko hata hao CCM tuanotaka kuwatoa. Mtikila... too confrotational and too contraversial
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. Freeman Mbowe (Mb-hai)...
 
Wakuu heshma zenu, mimi jamni nasapot kwa nguvu zangu zote CHADEMA na Dr Slaa, lakini swali langu ni kua hivi kama dactari kishinda, si atakua na wakati mgumu katika kuunda baraza la mawaziri? hii iktokana na uhaba wa wabunge ambao ndio watakao teuliwa kua mawaziri!!

Nipeni maoni hapa jamani.

Wewe utakuwa waziri wa 'safari za nje za Rais'!!!!!!!
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. Freeman Mbowe (Mb-hai)...

Waziri mkuu atategemea chama gani kitakuwa na wabunge wengi. Katiba ya Tanzania inasema waziri mkuu hutokana na chama chenye wabunge wengi.
 
JF, Hivi Tunazungumza Uchaguzi kama Referendum ya Serikali ya CCM ambayo ni sahihi katika demokrasia ambayo Incumbent anaomba ridhaa kuendeleza mambo aliyoanzisha Kwa kipindi kingine.

CHADEMA, Chama kikuu cha Upinzani Tz kikipewa ridhaa ya Kuongoza sisi wa WaTZ lazima kitakuwa na Serikali yake ambayo itakuwa na viongozi makada wa Chama Hicho wenye ushawishi..Mwenyekiti wa CHADEMA,ambaye anatarajiwa kuwa Mbunge wa Hai, Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe, ndio atategemewa kuwa WAZIRI MKUU WA 12 wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, chini ya RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA, MHE. DK. WILBROD PETER SLAA..

Je, NAFASI YA WAZIRI MKUU MTEULE, MHE. AIKAELI MBOWE (MBUNGE WA HAI) KATIKA SERIKALI YA RAIS DR. SLAA INACHUKULIWAJE, MBOWE KUMRITHI PINDA UONGOZI WA SERIKALI IJAYO KUNAWEZEKANA?
 
mbowe na slaa wote ni great thinkers i gues tanzania itaelekea kwenye next level,hapo itakuwa njema saaana
 
In five years time uje uicheki Tz walai ata wale walio ughaibuni wataludi
 
Back
Top Bottom