Aisee...
hili litakuwa moja ya baraza la mawaziri bovu kusikia maisha yangu yote!!! Naona watu wasiozidi watano wanaostahili hapo!
Specifically Mdee, Zitto, Mnyika na yule binti mwingine wa Kigoma.... the rest mmmmhhhh.... Lisu kama mwanasheria siku ile kwenye kampeni anaongea mbele ya waTanzania anamkejeli Waziri Mkuu kwa jina alilopewa na Wazazi wake.... hapana CHADEMA itakuwa chama cha kibabe sana!
Ingawa inasikitisha watu wengine hawajui katiba inasema je kuhusu kuunda baraza la mawaziri specifically kuteua na kupitisha waziri mkuu...
Ni hivi ukishinda urais bila kuwa na wabunge wakutosha utakuwa rais wa muda mfupi sana....
In short ili CHADEMA iunde serikali italazimika kuteua waziri mkuu kutokan CCM. na hii ni mpaka CCM wakubali.