Superman JF-Expert Member Joined Mar 31, 2007 Posts 5,693 Reaction score 1,702 Oct 24, 2010 Thread starter #41 Hivi Prof. Lipumba na Magufuli wakiwemo imekaaaje?
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 24, 2010 #42 D ay dreaming, only your wishful thought, be real SM. Hatuna nafasi ya kufanya majaribio kwenye nchi hii iliyojaa ufukara. Click to expand... Kama hili unalolisema limetoka moyoni basi tueleze pengine kwa kufanya majaribio mwaka 2005 ndiyo maana umasikini umeongezeka? Hivi wamarekani waliomchagua Obama walifanya majaribio na je hawakuwa na nafasi ya kufanya majaribio..... Huo umasikini ulioutaja huoni CCM na hususani JK ndiyo wameusababisha yaani unataka laana ya huo umasikini tuendelee nao?
D ay dreaming, only your wishful thought, be real SM. Hatuna nafasi ya kufanya majaribio kwenye nchi hii iliyojaa ufukara. Click to expand... Kama hili unalolisema limetoka moyoni basi tueleze pengine kwa kufanya majaribio mwaka 2005 ndiyo maana umasikini umeongezeka? Hivi wamarekani waliomchagua Obama walifanya majaribio na je hawakuwa na nafasi ya kufanya majaribio..... Huo umasikini ulioutaja huoni CCM na hususani JK ndiyo wameusababisha yaani unataka laana ya huo umasikini tuendelee nao?