Wana ajenda tofauti na walivyoeleza kuwa ni kuoanisha suala la muhula na likizo. Ebu jiulize je wakifanya mtihani mwezi may vyuo vikuu wataenda lini? si ni mpaka 2014! je mwaka mzima na miezi mitano (may 2013 to sept 2014)watakuwa wanafanya nini. Suala la kidato cha tano kuanza mapema nalo siliafiki kwani ukiangalia ratiba mitihani ya form 4 nayo imesogezwambele kwa mwezi mmoja hadi wiki ya kwanza ya nov. (WEF 2013)
Nahisi kuna ajenda ya JKT au kuna watoto wa wakubwa hawakufaulu vizuri kuingia vyuo vikuu sasa wanafikiri wakipata mwaka mzima ambao hapatakuwepo form six wapya, itakuwa ndio nafasi yao.
Hayo ndiyo mapya ya Kawambwa na wenzake - mara std seven multiple choice tupu, sasa mihula, baadae turudishe std 8, baadae tuondoe michezo mashuleni nk ali mradi kila waziri akiingia anafanya vyake.