Baraza la mitihani(necta) this time wame reseat wao

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
21,859
Reaction score
19,736
Katika kile ambacho kinaitwa standardazation ya results mwaka 2012-form 4,mimi naweza kuthubutu kusema kuwa wao ndio ambao wamekariri mtihani upya...baada ya serikali kutaka matokeo yapangwe na kusahihishwa upya kutokana na ubovu wa matokeo hayo kutawaliwa na 0 nyingi karibia 65%.
kama kawaida wanajamvi naombeni tutoe maoni yetu tena kuhusu mustakabali wa taifa kielimu
Naomba kuwakilisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…