mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Katika kile ambacho kinaitwa standardazation ya results mwaka 2012-form 4,mimi naweza kuthubutu kusema kuwa wao ndio ambao wamekariri mtihani upya...baada ya serikali kutaka matokeo yapangwe na kusahihishwa upya kutokana na ubovu wa matokeo hayo kutawaliwa na 0 nyingi karibia 65%.
kama kawaida wanajamvi naombeni tutoe maoni yetu tena kuhusu mustakabali wa taifa kielimu
Naomba kuwakilisha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kama kawaida wanajamvi naombeni tutoe maoni yetu tena kuhusu mustakabali wa taifa kielimu
Naomba kuwakilisha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums