Baraza la sanaa(BASATA) lasitisha usajili wa Msanii Dudubaya

Tanzania bwana,sasa wanamfungia kafanya kosa gani?
Hakuna nchi hatari kwa kuishi kama nchi za kiafrika ndiyo maana likaitwa bara giza. Ukiwa kwenye bara giza ww jali mambo yako maana ukijifanya unajua sana watakuua, kukufunga au kukufanya chochote kile hata kama hakipo kwenye sheria. Wengi wametendewa vibaya na lugha lkn unakaa kimya tu kuangalia maisha yako.
NCHI ZA KIAFRIKA SIYO SALAMA KUISHI.
 
''Tunakufungulia dunia kuwa unacho taka", kachagua mwenyewe kuwa baya, mpuuzi...avune alichopanda.
 
Asante Mama Amon barikiwa na Mungu wa mbinguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo basata wanataka kutuaminisha kuwa mtu akikamatwa na jeshi la polisi na biashara yake inafutwa, pia wakumbuke kuwa kukamatwa sio kutiwa hatiani wangesubili kwanza lakini hawa jamaa wameandika kwa mihemko tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jam
Jamaa umeongea kweli lkn wenye matimu watakuletea povu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…