Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Kwani Kuna shido
 
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Una shido wewe
 
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Binafsi kwa tz kuna mambo mhimu ya kudeal nayo, yenye tija kwa kizazi cha leo na kesho

Jambo mhimu ni uchumi kwa vijana wa leo ambao ni taifa la kesho

Kwa mnaohisi Kiswahili cha bambo ni kikwazo endeleeni kukipigania kiswahili chenu
 
View attachment 3019674
Dickson Samson Makwaya (Bambo)

Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi.

Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha.

Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka hata wimbo wa Sumalee (Hakunaga) ilibaki hati hati kufungiwa kwa kosa la kuharibu lugha .

Yeye kama msanii ni kioo cha jamii hivyo anatazamwa na wengi, sasa kama yeye anaanza kuharibu lugha inamaanisha wengi atawapoteza haswa kwa wale wageni wasiofahamu vyema lugha ya kiswahili na Wana nia ya kujifunza.
Acha wivu hiyo comedy ndo inamfanya alishe familia yake
 
ngoja nimsaidie mtoa mada hivi umewahi kufika mkoa wa Ruvuma hasa wilaya ya songea eidha mjini au vijijini au wilaya ya mbinga basi acha nikuambie utakutanan na maelfu ya kina bambo na sio kwamba wanafanya kusudi ni rafudhi kama ilivo kisukuma kichaga kimakimakonde na kadhaliko so bambo nae ni mtu asili ya huko hata neno bambo ni neno lenye maana ya rafiki / ndugu karibu tutembee tanzania tujionee mengi mazuri ya kujifunza na kufurahia ikiwemo rafudhi za maeneo mbalimbali
 
ngoja nimsaidie mtoa mada hivi umewahi kufika mkoa wa Ruvuma hasa wilaya ya songea eidha mjini au vijijini au wilaya ya mbinga basi acha nikuambie utakutanan na maelfu ya kina bambo na sio kwamba wanafanya kusudi ni rafudhi kama ilivo kisukuma kichaga kimakimakonde na kadhaliko so bambo nae ni mtu asili ya huko hata neno bambo ni neno lenye maana ya rafiki / ndugu karibu tutembee tanzania tujionee mengi mazuri ya kujifunza na kufurahia ikiwemo rafudhi za maeneo mbalimbali
Sawa
 
Back
Top Bottom