Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uncle Mtazamo fungua geti nilikua toilet pale kwenye kibanda cha nyasi3 - Mimi
Wakuu huyu si Jason Bourne mliye mzoea huyu ni Jasonbourne! ametumwa kuvuruga wasomaji kwa kumwaga upupu! Kwanini mods wanaruhusu tofauti ya space kama ID mpya? Rekebisheni haraka ID ziwe na tofauti ya wazi!
We sio mzima na aliyekuroga keshakufakwisha habari yenu nyie
Lipo na linafanya kazi; Mara ya Mwisho tulisikia tamko la Baraza la Usalama wakati ile Meli ilizama Zanzibar (Is slander).... Tamko lilisomwa na Katibu Mkuu kiongozi..... kwa Hiyo kwa haraka haraka wajumbe watakuwa wafuatao
1. Rais.....
2.Katibu mkuu kiongozi...
3....................
4.....................
Haya buana muda unaenda lakiniNgoja nikajipange nakuja na hoja kali