Nauliza hivi! hiivi,kuwa uchaguzi wa mwenyekiti unaanyika lini? kipi bora mwenyekiti au kiognozi wa vijana? kwa nini wazee wasimweke tu huyo wanaemtaka??
nitauliza mpaka nijue uchaguzi wa mnweyekiti ni lini!
Luteni, Na wewe una sababu za kitoto kwelikweli. Huo uchaguzi ulifanyikia wapi ambapo usiku unakimbiwa? Si ukubali tu kuwa wenye chama walimzima mshikaji wake Zitto?
Mwenyekiti gani tena wa CCM taifa hata mimi sijawahi kusikia uchaguzi huo nasikia ukiwa rais tu tayari umeukwaa uenyekiti
Thanks for that excuse, so you are copying and implementing CCM standard??
katika zama hizi za mapambano ya kisiasa , hutazamii kuwa CHADEMA ni kijichama fisadi....mawazo dhaifu hutolewa na mtu dhaifu, hekima ni zawadi kwa wachache na wasio nayo utawatambua kwa mawazo yao dhalili, waoga kufikiri mambo mazito ni mabingwa wa matusi hivyo ndivyo viashiria vya watu wa hovyohovyo.Kijichama fisadi! Chadema wanafanya ufisadi ktk uchaguzi mdogo wa vijana na wanashindwa ku control kura mpaka zinaibiwa, uchaguzi unarudiwarudiwa kweli hiki ni chama kinaweza kuendesha nchi? chadema ni kichekesho !!
Say no to CHADEMA, wanashindwa kusimamia uchaguzi wa vijana wao! wataweza nini?
The best way to innovate is to understand thoroughly the existing establishment, picking up what is useful and letting go all its nonsense. At times you might be considered copying and pasting the prevailling status, while infact advancing towards total coverage.
Otherwise you might produce a weakest adventure of all times. Innovation is all about filling the gaps left by the existing structure, solving the problems it couldn't solve, answering questions it knew not the answers to. How then would you do this without knowing any fruitful thing left within it, probably left to rust and perish.
Any newly established party in Tanzania has no way but to somehow copy some bits of the Legend CCM and innovate there after.
mimi nafikiri uchaguzi wowote ule lazima uwe fair na uwe wazi, the last tatizo lililojitokeza ni kwamba final results ilionyesha kuwa kura zilizidi watu waliopiga au waliokuwepo so kwa vigezo hivo ungempa ushindi aliyeshinda ina maana the whole election isingekuwa na legitimacy yoyote ile. Mimi nafikiri ni jambo la busara na lilikuwa jambo la busara kufuta matokeo na kwenda kwenye episode nyingine ambayo ni ya marudio.
Hii inaonyesh kupevuka na pia inaonyesha the integrity democrasy ndani ya chama, ni mfano wa kuigwa.
Ndugu yangu hatuko hapa katika kutukanana ama kubishana..tuko hapa katika kupashana habari na si vingenevyo..wewe kama unayako ishia zako..UMEFULIA.Teh teh teh.Vipi umemaliza kufanya mikatano yako ya hadhara?
katika zama hizi za mapambano ya kisiasa , hutazamii kuwa CHADEMA ni kijichama fisadi....mawazo dhaifu hutolewa na mtu dhaifu, hekima ni zawadi kwa wachache na wasio nayo utawatambua kwa mawazo yao dhalili, waoga kufikiri mambo mazito ni mabingwa wa matusi hivyo ndivyo viashiria vya watu wa hovyohovyo.
Demokrasia na CHADEMA? Labda mwenzetu uko usingizini unaota, kama CHADEMA kungelikuwa na demokrasia, leo mwenyekiti wenu angelikuwa Zitto na huo uchaguzi wa vijana usingerudiwa.
Teueni tu wale ambao wenye CHAMA wanawataka, kuna haja gani ya kudanganya wananchi kwa demokrasia ambayo hamuikubali?
Hata mwenyekiti wanawake nao ulikuwa mizengwe tupu. Hicho ndio chama mbadala kweli?
Bull,Butola Kubwajinga na Waberoya
Naona wengine hapa hamjazungumza siku nyingi na mmepata pa kusemea..Binafsi sina muda wa kubaishana na watu kama ninyi mlioko kazini saa hizi kwasasabu manzozijua ninyi.Nimeirusha hii thread ili watu wahabarike na sio jukwaa la malumbano yasiyokuwa na mashiko..kama mnataka malumbano basi anzisheni thread zenu sio kudandia kwa wenzenu ebo!shit...mkiendeka for sure natuma PM kwa wahusika waifunge thread hii..
Bull,Butola Kubwajinga na Waberoya
Naona wengine hapa hamjazungumza siku nyingi na mmepata pa kusemea..Binafsi sina muda wa kubaishana na watu kama ninyi mlioko kazini saa hizi kwasasabu manzozijua ninyi.Nimeirusha hii thread ili watu wahabarike na sio jukwaa la malumbano yasiyokuwa na mashiko..kama mnataka malumbano basi anzisheni thread zenu sio kudandia kwa wenzenu ebo!shit...mkiendeka for sure natuma PM kwa wahusika waifunge thread hii..
Hey!!
Jf nisehemu ya kudadisi mambo kwakina, kama lengola thread yako nikutoa habari tu basi peleka huko kwenye board ya Chadema, hapa jf tunadadisi kiutaalam habari zote.
Kama utaki udadisi, usilete tena thread zako humu jf, peleka hukohuko chadema wanaoshindwa kuandaa na ku-control hata vichaguzi vya vijana wao.
Kama chadema wanashindwa kuzuia fraud ndani ya chama chao, watwezaje kuendesha nchi kama hiii? wacha sensitivity zako za ki-gender zisizo na maana
Bull,Butola Kubwajinga na Waberoya
Naona wengine hapa hamjazungumza siku nyingi na mmepata pa kusemea..Binafsi sina muda wa kubaishana na watu kama ninyi mlioko kazini saa hizi kwasasabu manzozijua ninyi.Nimeirusha hii thread ili watu wahabarike na sio jukwaa la malumbano yasiyokuwa na mashiko..kama mnataka malumbano basi anzisheni thread zenu sio kudandia kwa wenzenu ebo!shit...mkiendeka for sure natuma PM kwa wahusika waifunge thread hii..
Kumbe wana Chadema mna mkwara hivi? ndio maana hamkosi kutoana nundu.
Lile doa, lileeee kwa wengine halitafutika. Haingii akilini kuwa chama cha demokrasia ili hali hamfanyi uchaguzi wa mwenyekiti. Ile ni aibu ambayo wewe G.S huwezi kuibeba na ndio unaishia hasira tu
Muombe Invisible aweke password nyingine kila zinapowekwa thread za chadema humu ndani. Kwangu mimi mko group moja tu na CCM. Kuanzia vitabia, mienendo yenu, ubwenyenye, uvivu wa kufikiri, kudanganya raia kuwa nyie ni wapinzani na kujipa moyo kwa matumaoni yasiyokuwepo.
You rel need to preach what you can practise. Hamna sababu ya kutofanya uchaguzi wa Mwenyekiti, nardia tena ili kama unatoka povu basi liwe jeupe zaidi. Ukikasirika sana piga ngumi PC yako!
Halafu hizo post hazikutumwa kwako zilitumwa kwa yeyote yule, msalaba wa chadema utauweza mkuu?? wengine huwa wanaanzisha thread kwa lengo la kuto habari hauwaoni tena!
wakereketwa wa vyama mnapata presha humu mpaka nawaonea huruma!!
kipendacho roho
Unakikumbusha mwana CCM mmoja unamwambia nyie mafisadi, anakasirika mpaka anagoma kula! you know what made him angry?? kuwa eti tangu alipoanza kusikia madai ya ufisadi yeye hajawahi kupata mgawo!!!!!!!LMAO!
Naona wewe ndio unaiga tabia typical za Mbowe na wazee wa chama, andika hiyo PM kwa mods .Mbona Mnyika,Kitila hata uwapige swali nasty namna gani huwa hawana hasira nyie wengine siasa mnaijuaje? ukiona watu wauliza hivi ujue wapendwa yakhe! anzisha thread ya NCC R uone kama kuna mtu atachangia! grow up man! politics is all about anything!!
Kwani demokrasia ni kuchaguliwa Zitto tu hata angeshiriki unajuaje angeshinda demokrasia si kuchagua viongozi tu hata kujiunga na chadema ni demokras pia haulazimishwi
Sikutegemea maneno haya yatolewe na Waberoya haya hutolewa na wanawake wanaosutana mabarazani.... kama kimekuuma chukua kamba ujitundike...nk inavyoonekana wewe ndiye roho inayokuuma otherwise unge ignore na kuzungumzia issue.
Bull,Waberoya,Omar!nawasikitikia sana..inaonyesha ni jinsi gani roho zinavyowauma maskini weee poleni sana ndio ukubwa huo!Siasa inahitaji uvumilivu wa hali ya juu.. Hata mkisema humu haisaidii kwani uchuguzi ulishafutwa na sasa umetangazwa upya anyetaka aende akajaze fomu..UKWELI UTBAKI KUWA UKWELI MILELE hata mkijitahdi kupotosha..Haki wakati mwingine inagombewa hata kwa ngumi ni jambo la kawaida..Ngumi ngumi tu mpaka kieleweke!