Bull,Butola Kubwajinga na Waberoya
Naona wengine hapa hamjazungumza siku nyingi na mmepata pa kusemea..Binafsi sina muda wa kubaishana na watu kama ninyi mlioko kazini saa hizi kwasasabu manzozijua ninyi.Nimeirusha hii thread ili watu wahabarike na sio jukwaa la malumbano yasiyokuwa na mashiko..kama mnataka malumbano basi anzisheni thread zenu sio kudandia kwa wenzenu ebo!shit...mkiendeka for sure natuma PM kwa wahusika waifunge thread hii..
Kumbe wana Chadema mna mkwara hivi? ndio maana hamkosi kutoana nundu.
Lile doa, lileeee kwa wengine halitafutika. Haingii akilini kuwa chama cha demokrasia ili hali hamfanyi uchaguzi wa mwenyekiti. Ile ni aibu ambayo wewe G.S huwezi kuibeba na ndio unaishia hasira tu
Muombe Invisible aweke password nyingine kila zinapowekwa thread za chadema humu ndani. Kwangu mimi mko group moja tu na CCM. Kuanzia vitabia, mienendo yenu, ubwenyenye, uvivu wa kufikiri, kudanganya raia kuwa nyie ni wapinzani na kujipa moyo kwa matumaoni yasiyokuwepo.
You rel need to preach what you can practise. Hamna sababu ya kutofanya uchaguzi wa Mwenyekiti, nardia tena ili kama unatoka povu basi liwe jeupe zaidi. Ukikasirika sana piga ngumi PC yako!
Halafu hizo post hazikutumwa kwako zilitumwa kwa yeyote yule, msalaba wa chadema utauweza mkuu?? wengine huwa wanaanzisha thread kwa lengo la kuto habari hauwaoni tena!
wakereketwa wa vyama mnapata presha humu mpaka nawaonea huruma!!
kipendacho roho
Unakikumbusha mwana CCM mmoja unamwambia nyie mafisadi, anakasirika mpaka anagoma kula! you know what made him angry?? kuwa eti tangu alipoanza kusikia madai ya ufisadi yeye hajawahi kupata mgawo!!!!!!!LMAO!
Naona wewe ndio unaiga tabia typical za Mbowe na wazee wa chama, andika hiyo PM kwa mods .Mbona Mnyika,Kitila hata uwapige swali nasty namna gani huwa hawana hasira nyie wengine siasa mnaijuaje? ukiona watu wauliza hivi ujue wapendwa yakhe! anzisha thread ya NCC R uone kama kuna mtu atachangia! grow up man! politics is all about anything!!