Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.