Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
Gsm ni wanawake?Kesi za wanawake uwa aziishi haraka.
Kashtakiwa na mtu,mwanamke mwenzie sio tffC.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
C.E.O WA SIMBA NDUGU ALALE POLISI?????Wangemlaza tu huko lock up!
Naipenda Simba ila hako kabinti sikapendi,sijui kwanini?Nilipoona Uzi huu nikajisemea "si wangekapiga ndani hata siku 3"!C.E.O WA SIMBA NDUGU ALALE POLISI?????
Bado Simba atakuwa SIMBA tuu pamoja na figisu zote hiziC.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Kwani kunatatizo akizingua analalaC.E.O WA SIMBA NDUGU ALALE POLISI?????
Leongo sio asiwe Simba,lengo awe Wa kucholwaBado Simba atakuwa SIMBA tuu pamoja na figisu zote hizi
Bado atawatisha tuuuLeongo sio asiwe Simba,lengo awe Wa kucholwa
Mkuu mshana kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kiasi hiki???Bado Simba atakuwa SIMBA tuu pamoja na figisu zote hizi
GSM anatakatisha pesa...hajali kituUmekuwa sio mpira tena, kwa sasa ni kuwindana na kukomoana. Sidhani kama mwenendo huu ni afya kwa Taifa. Limeanza kwa viongozi litaenda kwa mashabiki.
Kuna moto utawaka sijui utazimika vipi.