Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Kwa nn ichukue mda mrefu hivi?Ingekuwa rafu ya uwanjani isingekuwa tatizo,muathilika kaamua kulishughulikia kama jinai.Lugha chafu siyo swala la mpira.Ni sawa na kumchima na kisu mchezaji mwenzio useme ni swala la mpira.
Hayo sio mambo ya uwanjani bali mambo binafsi...C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Jiesiemu anaingiaje hapa au ndiyo Yale maneno ya Rage yanajidhihilisha?GSM ametumwa kuja kuua mpira Tanzania. Najiulizaga tu hivi Malawi ametuacha wapi? Kumbe toka aje GSM kila kitu hakiendi hata Yanga huko hakuna kitu zaidi ya kuua viwango vya wazawa tu.
Kwani haya yote yanawezeshwa na nani? Juesiemu ameungana na TFF kuikandamiza Simba tunakoenda tutakosa timu ya ushindani ya Taifa na hatutakuwa na uwakilushi bora CAF. Simba ni mpira wa Tanzania hao wengine 2B tayari TFF anekuwa submissive sana kwa GSMJiesiemu anaingiaje hapa au ndiyo Yale maneno ya Rage yanajidhihilisha?
Ogopa matapeli, Simba ambaye hana mkia hayupo na kamwe hajawahi kuwepo na hatakuwepo kabisa duniani kaka.
Asante [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mkuu mshana kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kiasi hiki???
Wewe kampige shabiki wa Mtibwa uwanjani akupeleke peleke ukajitetee tilikuwa uwanjani kama watakuachia. Shabiki Unafanya jinai uwanjani halafu unataka upewe Kadi na refa?Umekuwa sio mpira tena, kwa sasa ni kuwindana na kukomoana. Sidhani kama mwenendo huu ni afya kwa Taifa. Limeanza kwa viongozi litaenda kwa mashabiki.
Kuna moto utawaka sijui utazimika vipi.
Aiseee umemjibu vzr sana[emoji122][emoji122][emoji122]Asante [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Siwezi kukushangaa Maana wanawake huwa hampendaniNaipenda Simba ila hako kabinti sikapendi,sijui kwanini?Nilipoona Uzi huu nikajisemea "si wangekapiga ndani hata siku 3"!
We nae jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo bac hata mara moja tu. Unaonekana una chuki zako binafsi na GSM tu huna lolote. Kwahiyo GSM ndo kafungua hiyo kesi?Ndio maana FIFA wameweka kipengere cha Serikali kutokuwa na mikono kwenye Football. Mpira wa miguu upo na kanuni na sheria zake. Ndio maana barbra alitozwa faini na TFF. Waliompeleka police ni jiesiemu
Yes matusi aliyomtukana huyo dada wa TFF ilikua sio mpira tena bali ni jinai.Umekuwa sio mpira tena, kwa sasa ni kuwindana na kukomoana. Sidhani kama mwenendo huu ni afya kwa Taifa. Limeanza kwa viongozi litaenda kwa mashabiki.
Kuna moto utawaka sijui utazimika vipi.
Acha mkuu..kizuri tu mbona...Naipenda Simba ila hako kabinti sikapendi,sijui kwanini?Nilipoona Uzi huu nikajisemea "si wangekapiga ndani hata siku 3"!
Duh...Yes matusi aliyomtukana huyo dada wa TFF ilikua sio mpira tena bali ni jinai.
Babra alikua anatukana tu kumbe mwenzake anamrekodi.
Watu wameelemewa.. Huhitaji kuwaongezea mzigo kwa kuanza kujibishana nao vibayaAiseee umemjibu vzr sana[emoji122][emoji122][emoji122]
TAcha mkuu..kizuri tu mbona...
Mkumbushe mchezaji wa CDA DODOMA "aliekula mvua moja"(Nadhani ni marehemu kwa sasa pamoja na timu yake), baada ya kumpiga mchezaji wa timu pinzani nje ya pitch lakini ndani ya kiwanja, baada ya mpira kuwa ulishaisha.Mfano wako Ni irrelevant mkuu, Kwani shabiki wa mpira akifanya fujo uwanjani hiyo Ni jinai au si jinai kisheria, The same happened to so called CEO. Mchezaji akifanya Lisa akiwa mchezoni anaadhibiwa kikanuni. Ila mshabiki ufanye kosa la kijinai kiwanjani, hapo mkondo wa Sheria za nchi unachukua nafasi yake. Nadhani umeelewa Hadi hapo.
Uko sahihiHii kesi Ni jinai na aliyepeleka kesi hiyo siyo tff Ni mtu personal ambaye alifanyiwa jinai hiyo. Hivyo tusilete uchochezi hapa. CEO akizingua Sheria inamzingua tu.
Kwani lini tulikua nayo hio timu ya ushindani?Kwani haya yote yanawezeshwa na nani? Juesiemu ameungana na TFF kuikandamiza Simba tunakoenda tutakosa timu ya ushindani ya Taifa na hatutakuwa na uwakilushi bora CAF. Simba ni mpira wa Tanzania hao wengine 2B tayari TFF anekuwa submissive sana kwa GSM