ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
GSM ametumwa na nani?GSM ametumwa kuja kuua mpira Tanzania. Najiulizaga tu hivi Malawi ametuacha wapi? Kumbe toka aje GSM kila kitu hakiendi hata Yanga huko hakuna kitu zaidi ya kuua viwango vya wazawa tu.
Kama sio Malawi basi Zimbambwe kwani namna walivyotuacha acha hapa bongo na wao kwenda Cameroon, sikuelewa awali kumbe GSM hawa.GSM ametumwa na nani?
Sasa TFF walimuadhibu kwa sheria gani?Mfano wako Ni irrelevant mkuu, Kwani shabiki wa mpira akifanya fujo uwanjani hiyo Ni jinai au si jinai kisheria, The same happened to so called CEO. Mchezaji akifanya Lisa akiwa mchezoni anaadhibiwa kikanuni. Ila mshabiki ufanye kosa la kijinai kiwanjani, hapo mkondo wa Sheria za nchi unachukua nafasi yake. Nadhani umeelewa Hadi hapo.
Adhabu ya tff haiondoi jinai yake mkuu. Tff walimuadhibu kwa mujibu wa kanuni za ligi na police wanafanya kazi under Sheria za nchiSasa TFF walimuadhibu kwa sheria gani?
Si wangeshauri kuwa hilo ni kosa la kipolisi hivyo liende huko.
Bumbavuu.