Barbara Gonzalez anamaanisha nini? Kuna nini Simba?

Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?

Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
 

Unamaanisha mhandisi alifikia hatua ya kua na rafiki kipenzi kule wekundu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…