[emoji23][emoji23][emoji23] sijui anakasirika nn yaan, yeye mbna alimtoa knock out fashionista msomi kwa De Boss, ila yeye alitaka alitumwa acheat?Aisee hii habari iliwekwa lakini ilitolewa fasta kumbeeee mmmh.
Kwanini umehusisha twittee naTimu ya Simba? Kuna sehemu kaitaja Simba au Mo?
Dah kuna tabia ukiwa nayo kuiacha ni ngumu sanaLakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Ipii hiyoo??Dah kuna tabia ukiwa nayo kuiacha ni ngumu sana
Si huu ujuaji wa mahusiano ya watu hpa tunajadili mpira lkn ww tayar umeshalink na mapwenziIpii hiyoo??
Mie mutu ya congo bwana nilikuwa mbioni kuludi kwetu karemiiKwani wewe siyo raia?!?!π
Nakazia, mengine hapa ni umbea tu..Barbars kaongea tuu kama watu wengine..hamaanishi chochote kile
Kumbe ya kipara ngoto wa unit is no longer a secret.Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Unasemea Sope, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndo yoyote anampaa, halijui kukataa.
Si aliendaga Dubengaa, kuipa promo team ya ukwaju, kabla hajaangukia kidimbwi Fc, kumbe CEO alimdonyoa
Woiiiiiiiii
Unasemea Sope, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndo yoyote anampaa, halijui kukataa.
Si aliendaga Dubengaa, kuipa promo team ya ukwaju, kabla hajaangukia kidimbwi Fc, kumbe CEO alimdonyoa
Woiiiiiiiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Choo cha sitendiLakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Itakuwa anamdai yule jamaa yetu wa transformation
Mbona ameongea tuu kawaida? Labda baba mtoto hatoi hela ya maziwa... π π π
Dyadyaaa Babra kanichoshaa sasa kipara ngoto ana hadhi gani ya kuwa nae? Labda kafuata pesa, ila kaniudhii mnoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Dogo...
Hivi kweli Mtoto ni wa Kipara ngoto?
Maana siyo kwa Ushoga ule na Dada mtu yule wa South.
Kwahiyooo?? [emoji23][emoji23][emoji23]Si huu ujuaji wa mahusiano ya watu hpa tunajadili mpira lkn ww tayar umeshalink na mapwenzi
Yaan mie kaniboaa mnoo, sasa kipara ngoto wa kumzalia kweli?Kumbe ya kipara ngoto wa unit is no longer a secret.
He bought for her VXR V8 2023
Hiyo sina hakika, ila hater wa Mwambinoo ndo kweli anabatuliwa na mdogo ake boss, mwenyewee ana muita boss mtoto.Na lile jamaa lililosema litamzalia CEO wa wachafu, nalo nasikia linadokolewa siku hizi