Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mambo ni Bul-bul!KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba . Huenda kufikia leo yakatokea mabadiliko makubwa kwenye uongozi wa juu.
kama mambo yataenda sawa Leo au kesho Barbara Gonzalez atatangazwa kuwa Mwenyekiti na View attachment 3010814
Anaitumia elimu yake vizuri,tatizo lipo kwa Waswahili wasioenda shule,ndio wamejaa majunguYupo vzuri sana huyo dada. Hayupo kuifilisi club bali kuifanya ifikie malengo aliyopewa n bosi wake n club yake. Wote wapo kimadlahi ila uyo ataisaidia simba kuliko kuifilisi
Februari huyu huyu manywele au kuna mwingine?!Ndio yule manzi aliezaa na Februari?
Ndio maana yake 😂. Ndio aliempiga mimba na kumnunulia mchumaFebruari huyu huyu manywele au kuna mwingine?!
Naunga mkono hojaWalete walete sisi tunataka la 4 NBC ,Crdb na ngao ya hisani
Levels💪
Watanganyika katika ubora wenu!! Umbea na ujinga tu! Sasa Barbra kuzaa ni kitu cha ajabu!! Si ni mwanamke uyo!Ndio maana yake 😂. Ndio aliempiga mimba na kumnunulia mchuma
Ni umaskini tu.Watanganyika katika ubora wenu!! Umbea na ujinga tu! Sasa Barbra kuzaa ni kitu cha ajabu!! Si ni mwanamke uyo!
JF imevamiwa na low IQ mada inazungumzia Barbra kurudi Simba! Mtu anakuja na kusema Barbra amezaa na anaweka na emoji ya kucheka kabisa!! Kuna mijitu mijinga sana nchi hii.
Pole mkuu maana umechafukwa sanaWatanganyika katika ubora wenu!! Umbea na ujinga tu! Sasa Barbra kuzaa ni kitu cha ajabu!! Si ni mwanamke uyo!
JF imevamiwa na low IQ mada inazungumzia Barbra kurudi Simba! Mtu anakuja na kusema Barbra amezaa na anaweka na emoji ya kucheka kabisa!! Kuna mijitu mijinga sana nchi hii.
Aisee ! Wanawake mna wivu balaa. Sasa ulitaka Februari akuzalishe wewe wakati hata hakuju unaishi mtaa gani?Ndio yule manzi aliezaa na Februari?
Tafta mume, acha kujifanya unawajua sana waume za watu wewe shoga. Mke wangu ana wivu sana akijua unanilazimisha nikushikishe ukuta atakuua.Aisee ! Wanawake mna wivu balaa. Sasa ulitaka Februari akuzalishe wewe wakati hata hakuju unaishi mtaa gani?
Low mind discuss peopleNdio maana yake 😂. Ndio aliempiga mimba na kumnunulia mchuma
Kuna tatizo?Ndio yule manzi aliezaa na Februari?
wanaume kama mabinti na emoj zao za kuchekacheka.Watanganyika katika ubora wenu!! Umbea na ujinga tu! Sasa Barbra kuzaa ni kitu cha ajabu!! Si ni mwanamke uyo!
JF imevamiwa na low IQ mada inazungumzia Barbra kurudi Simba! Mtu anakuja na kusema Barbra amezaa na anaweka na emoji ya kucheka kabisa!! Kuna mijitu mijinga sana nchi hii.