Barbara Gonzalez kutambulishwa leo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Mkuu naomba buku hapo
 
Ikawe hivo binafsi namkubali Yuko real, anakuwaga real hafuati maslah yake binafsi.
 
Hapo ndipo uwezo wao wa kufikiri unapoishia
 
HII RAMLI IMEKATAA KAMA HESABU ZA KIHASIBU.

Babra mwenyewe analalamika kutengenezewa propaganda πŸ˜€πŸ˜€
 
KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba . Huenda kufikia leo yakatokea mabadiliko makubwa kwenye uongozi wa juu.
kama mambo yataenda sawa Leo au kesho Barbara Gonzalez atatangazwa kuwa Mwenyekiti na View attachment 3010814
Mna matarajio makubwa kama mlivyo kuwa mnaimba Luis Mis. arudi arudi karudi amewasaidia nini? Ndicho kitakacho mtokea huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…