Barbara Gonzalez na Tamaa ya Umaarufu

Barbara Gonzalez na Tamaa ya Umaarufu

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Huyu Binti atawaharibu kinoma pae Msimbazi.

Watu wengi waluo wahi fanya naye kazi wanasema bi mdada anapenda attention mithili ya samaki apendavyo Maji. Tangu aingie pale Klabuni amekuwa na wivu na namna Senzo anavyo zungumziwa sana na Media. Akafanya figisu zake Senzo akasepa.

Bado ikaonekana haitoshi, Media nyingi za Bongo zikawa zinaendelea kummulika Haji Manara. Kitendo hiko kimekuwa kikimkosesha sana raha kwa kipindi cha muda mrefu. Maana lengo lake kuu ni kuwa mtu maarufu pale Msimbazi kuliko mtu yeyote yule.

Sasa hivi anamchokonoa Manara, akijua wazi kabisa Manara akisepa sasa Luninga, TV na Redio zote zinakuwa zikimuangazia yeye tu.

Ninavyo ona huyu Binti atakinukisha sana pale Msimbazi, Itafika mahapa ili kuiokoa klabu Mo atatakiwa achague kati ya Mapenzi na Kabu.

Nasikia De la Boss ameahidi kama akifungwa na Yanga SC hapo tarehe 25 basi atatumia kichaka cha skendo ya Barbara na kuwaachia timu yako.

Ama kweli uhai wa mabadiliko kwenye timu yao bado unashikiliwa na watu wachache wenye nguvu nyingi.
 
Wanasimba mjiulize.. timu zinazoshindana na simba huko CAF. zina vyeo ama roles kama za manara? Maana msiseme simba level zenu mazembe, mamelodi, al ahly huku hao wana tofauti kubwa na nyinyi kwenye vyeo..

Manara anajua hata kuandika proposal iliyonyooka kuhusu timu yake ili awashawishi puma ama umbro wafanye kazi na simba?
 
Wanasimba mjiulize.. timu zinazoshindana na simba huko caf. zina vyeo ama roles kama za manara? Maana msiseme simba level zenu mazembe, mamelodi, al ahly huku hao wana tofauti kubwa na nyinyi kwenye vyeo..

Manara anajua hata kuandika proposal iliyonyooka kuhusu timu yake ili awashawishi puma ama umbro wafanye kazi na simba?
Inamana jamaa kasomea kuongea tu , vingine hamna kitu[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Inamana jamaa kasomea kuongea tu , vingine hamna kitu[emoji41][emoji41][emoji41]

Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na kusaka matangazo ya timu kwenye jezi zao na wazamini
 
Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
[emoji851][emoji851][emoji851] Jamaa ajasoma kabisa hapa nacho kiona
 
Manara ni mpuuzi na aondoke.

Hana busara,hana weledi,anaropoka ropoka tu vitu vinavyoathiri brands ya Simba.

Ijapo anawakera yanga lakini maneno yake siyo ya hadhi ya Simba.Simba inatakiwa kuwa level nyingine kabisa.Waswahili kama Haji ndio wakati mwingine wanasababisha mambo yaende kiswahili swahili.

Hivi sasa anataka kuleta mgogoro kabla ya mechi ya derby sijui kauza mechi tayari?!Maana anataka kuwafanya mashabiki wanyong'onyee.

Mashabiki wengi wa Simba ninawaona wana busara kuliko huyo Haji
 
Nilipenda san hamasa zake. Lakini tatizo la watanzania mafanikio kidogo anajiona ana uwezo sawa au kuliko taasisi. Haji amekuwa kama limbukeni wa umaarufu. Nadhani muda wa kutafuta changamoto sehemu zingine ni sasa.

Ni kama anataka awe untouchable hivi, yeye nani asiguswe au kuhojiwa? Kama mwajiriwa na binaadam huwezi kuwa sawa muda wote. Kuna muda utatoka nje ya mstari mwajiri lazima afanye wajibu wake.

Akiguswa anapeleka taarabu insta,anakuwa kama mwanamke mwenye kiranga,kifinyo kidogo tu mtaa mzima anajua. Mdomo mwingi huponza kichwa...Akibaki bila Simba akili itamrudia
 
Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
Kitu kile kile issue ni majina tu
 
Back
Top Bottom