Barbara Gonzalez na Tamaa ya Umaarufu

Barbara Gonzalez na Tamaa ya Umaarufu

Kama una akili ya uchambuzi utaona wazi baada ya Babra kuingia Manara hana nafasi kabisa.
Relation maneja lazma awe na marketing skills na qualifications. Manara hana na amebaki kutumia mission town na ujanja ujanja. Msemaji domodomo hahitajiki kwenye mfumo wa corporate club.
Nilisema mwaka jana Manara aondoke vinginevyo ataondoka kwa aibu kubwa.
 
Manara umaarufu umekuja automatically,kwakuwa ni mswahili na mashabiki wengi sisi ni waswahili.

Vile vimipasho vyake basi mashabiki kwao ni burudani,lakini akikaa msemaji ambaye yupo serious mvuto utapotea haraka mno
 
Kwa tabia za Manara ni wazi yeye ndiyo anapenda umaarufu zaidi kuliko hata huyo Babra.
Sure kabisa Huyo manara ndio mpenda umaarufu

Usikute anaingile hata Mambo yasiyo muhusu kwa nafasi yake .

Amekaa kiswahili Swahili tu

Huyo Jamaa kwa lugha zake chafu mi Wala Sina cha kumtetea

Aende zake tu anajiona wa maana Sana hapo Simba
 
Mbna bvrbvra hana shida na mtu shida iko jangwani tuu mzee mpili cjui kawafanya nini utopolo tukane lake Tanganyika 25/7/2021 yanga akifa 3-1
 
Wanasimba mjiulize.. timu zinazoshindana na simba huko caf. zina vyeo ama roles kama za manara? Maana msiseme simba level zenu mazembe, mamelodi, al ahly huku hao wana tofauti kubwa na nyinyi kwenye vyeo..

Manara anajua hata kuandika proposal iliyonyooka kuhusu timu yake ili awashawishi puma ama umbro wafanye kazi na simba?
Proposal ya kutongoza tu hawezi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
Hivi manara anajua kimalikia kweli?
Naona hyo nafasi imemzidi uwezo afisa habari wa Simba daily kutukana Utopolo huo ni wastage of time, hafu kupata matangazo ya GSM Utopolo kavimba kichwa mi naona apumzike ili afanye vizuri Mambo yake personal
 
Manara ni mpuuzi na aondoke.
Hana busara,hana weledi,anaropoka ropoka tu vitu vinavyoathiri brands ya Simba.
Ijapo anawakera yanga lakini maneno yake siyo ya hadhi ya Simba.Simba inatakiwa kuwa level nyingine kabisa.Waswahili kama Haji ndio wakati mwingine wanasababisha mambo yaende kiswahili swahili.
Hivi sasa anataka kuleta mgogoro kabla ya mechi ya derby sijui kauza mechi tayari?!Maana anataka kuwafanya mashabiki wanyong'onyee.

Mashabiki wengi wa Simba ninawaona wana busara kuliko huyo Haji
Manara ni mhujumu Simba atolewe tu huyu kwa kweli si anajiona bila yeye hamna simba
 
Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
kwani manara kwanini asihamie Yanga au timu yeyote ile, kwani hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuwa mropokaji wa simba, na wanamlipa kwa kazi hiyo tu, hana uwezo kufanya kazi nyingine, na anavyotishia kuondoka ina maana ataenda kufanya kazi gani sasa mtaani, anawaringishia nini simba cha ziada ambacho akiondoka itakuwa imekula kwao? najiuliza tu.
 
Hivi manara anajua kimalikia kweli?
Naona hyo nafasi imemzidi uwezo afisa habari wa Simba daily kutukana Utopolo huo ni wastage of time, hafu kupata matangazo ya GSM Utopolo kavimba kichwa mi naona apumzike ili afanye vizuri Mambo yake personal
nadhani conflicts of interest kwenye swala la GSM ndiyo linamsumbua huyu mzungu mropokaji.
 
kwani manara kwanini asihamie Yanga au timu yeyote ile, kwani hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuwa mropokaji wa simba, na wanamlipa kwa kazi hiyo tu, hana uwezo kufanya kazi nyingine, na anavyotishia kuondoka ina maana ataenda kufanya kazi gani sasa mtaani, anawaringishia nini simba cha ziada ambacho akiondoka itakuwa imekula kwao? najiuliza tu.
Simba ni kubwa kuliko mtu yoyote bana huyo manara asijione yeye ni Simba
 
Nilipenda san hamasa zake. Lakini tatizo la watanzania mafanikio kidogo anajiona ana uwezo sawa au kuliko taasisi. Haji amekuwa kama limbukeni wa umaarufu. Nadhani muda wa kutafuta changamoto sehemu zingine ni sasa.

Ni kama anataka awe untouchable hivi, yeye nani asiguswe au kuhojiwa? Kama mwajiriwa na binaadam huwezi kuwa sawa muda wote. Kuna muda utatoka nje ya mstari mwajiri lazima afanye wajibu wake.

Akiguswa anapeleka taarabu insta,anakuwa kama mwanamke mwenye kiranga,kifinyo kidogo tu mtaa mzima anajua. Mdomo mwingi huponza kichwa...Akibaki bila Simba akili itamrudia
Hapa mtani nakuunga mkono. Kama Simba inataka au inajiona ni taasisi kubwa lazima ihakikishe professionalism inazingatiwa. Mfanyakazi hawezi kuwa mkubwa kuliko Taasisi, haijawahi kutokea na kama ikitokea basi hiyo si taasisi.

Zipo Kampuni na taasisi zilizowahi kuwaondoa Wafanyakazi wake mahiri sana kwa sababu ya utovu wa nidhamu. Haiwezekani muajiriwa utoe hadharani mgogoro wa Kiofisi hadharani tena na vitisho juu.

Kwa hili la Manara nafikiri bado fikra zake ni kuwa Simba au Yanga ni kama chama cha siasa!

Hapa mtani mna mtihani, ama professionalism au funika kombe.
 
Manara hana nafasi katika corporate Simba, hata yeye analijua hili. Ila kwa sababu mpira wetu bado una mambo mengi ya "kiswahili" yasiyo na formula, Manara anayaweza haya. angepewa nafasi ndogo isiyo ya kitaasisi aendelee kupiga domo na waswahili wenzake. Na 700k anayopata inatosha kabisa kwa kazi hiyo.
Kama anafikiri yeye ndio kaipa umaarufu Simba (kama alivyosema kuwa kaijenga brand ya Simba) ajaribu kuenda kwenye taasisi nyingine aijenge tuone. Manara kuwa Simba ni kama samaki kwenye maji. Akitoka ...
 
Huyu Binti atawaharibu kinoma pae Msimbazi.

Watu wengi waluo wahi fanya naye kazi wanasema bi mdada anapenda attention mithili ya samaki apendavyo Maji. Tangu aingie pale Klabuni amekuwa na wivu na namna Senzo anavyo zungumziwa sana na Media. Akafanya figisu zake Senzo akasepa.

Bado ikaonekana haitoshi, Media nyingi za Bongo zikawa zinaendelea kummulika Haji Manara. Kitendo hiko kimekuwa kikimkosesha sana raha kwa kipindi cha muda mrefu. Maana lengo lake kuu ni kuwa mtu maarufu pale Msimbazi kuliko mtu yeyote yule.

Sasa hivi anamchokonoa Manara, akijua wazi kabisa Manara akisepa sasa Luninga, TV na Redio zote zinakuwa zikimuangazia yeye tu.

Ninavyo ona huyu Binti atakinukisha sana pale Msimbazi, Itafika mahapa ili kuiokoa klabu Mo atatakiwa achague kati ya Mapenzi na Kabu.

Nasikia De la Boss ameahidi kama akifungwa na Yanga SC hapo tarehe 25 basi atatumia kichaka cha skendo ya Barbara na kuwaachia timu yako.

Ama kweli uhai wa mabadiliko kwenye timu yao bado unashikiliwa na watu wachache wenye nguvu nyingi.
Ukiona utopolo anaandika kumponda CEO aliyeifikisha simba robo fainali na kuchukua ubingwa wa bara mara 2 mfululizo ujue utopolo kabanwa spana na huyu mwanadada.
 
Huyu Binti atawaharibu kinoma pae Msimbazi.

Watu wengi waluo wahi fanya naye kazi wanasema bi mdada anapenda attention mithili ya samaki apendavyo Maji. Tangu aingie pale Klabuni amekuwa na wivu na namna Senzo anavyo zungumziwa sana na Media. Akafanya figisu zake Senzo akasepa.

Bado ikaonekana haitoshi, Media nyingi za Bongo zikawa zinaendelea kummulika Haji Manara. Kitendo hiko kimekuwa kikimkosesha sana raha kwa kipindi cha muda mrefu. Maana lengo lake kuu ni kuwa mtu maarufu pale Msimbazi kuliko mtu yeyote yule.

Sasa hivi anamchokonoa Manara, akijua wazi kabisa Manara akisepa sasa Luninga, TV na Redio zote zinakuwa zikimuangazia yeye tu.

Ninavyo ona huyu Binti atakinukisha sana pale Msimbazi, Itafika mahapa ili kuiokoa klabu Mo atatakiwa achague kati ya Mapenzi na Kabu.

Nasikia De la Boss ameahidi kama akifungwa na Yanga SC hapo tarehe 25 basi atatumia kichaka cha skendo ya Barbara na kuwaachia timu yako.

Ama kweli uhai wa mabadiliko kwenye timu yao bado unashikiliwa na watu wachache wenye nguvu nyingi.
Manara hasifishiki mkuu..
Hoja zako hazina mshiko

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
Sahihi kabisa mkuu,cheo cha manara sio msemaji labda tumpe uongozi kwenye vikundi vya washangiliaji.Lakini PR anatakiwa awe mtu professional na mwenye exposure ya kutosha.Na ndo maana kwa upeo wake mdogo hajui kuwa huwezi tenganisha taasisi na mfanyakazi wake ni sawa na kuwa mfanyakazi wa Voda lakini kutwa unapost vitu vya TIGO kwenye page zako alafu ukajitetea ni binafsi.wenzetu wamefika mbali kwenye accountability kiasi ukioa mke au ukiolewa na mme toka kwa taasisi shindani au pinzani unapigwa chini pamoja ni mambo yako binafsi.Manara anategemea awe PR wa Simba huku anaendelea kuwa balozi wa akina GSM au AZAM media alafu mwajiri wake aendelee kumchekea.
 
Back
Top Bottom