Kama una akili ya uchambuzi utaona wazi baada ya Babra kuingia Manara hana nafasi kabisa.
Relation maneja lazma awe na marketing skills na qualifications. Manara hana na amebaki kutumia mission town na ujanja ujanja. Msemaji domodomo hahitajiki kwenye mfumo wa corporate club.
Nilisema mwaka jana Manara aondoke vinginevyo ataondoka kwa aibu kubwa.
Relation maneja lazma awe na marketing skills na qualifications. Manara hana na amebaki kutumia mission town na ujanja ujanja. Msemaji domodomo hahitajiki kwenye mfumo wa corporate club.
Nilisema mwaka jana Manara aondoke vinginevyo ataondoka kwa aibu kubwa.