Sure kabisa Huyo manara ndio mpenda umaarufuKwa tabia za Manara ni wazi yeye ndiyo anapenda umaarufu zaidi kuliko hata huyo Babra.
Proposal ya kutongoza tu haweziWanasimba mjiulize.. timu zinazoshindana na simba huko caf. zina vyeo ama roles kama za manara? Maana msiseme simba level zenu mazembe, mamelodi, al ahly huku hao wana tofauti kubwa na nyinyi kwenye vyeo..
Manara anajua hata kuandika proposal iliyonyooka kuhusu timu yake ili awashawishi puma ama umbro wafanye kazi na simba?
Hivi manara anajua kimalikia kweli?Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
Manara ni mhujumu Simba atolewe tu huyu kwa kweli si anajiona bila yeye hamna simbaManara ni mpuuzi na aondoke.
Hana busara,hana weledi,anaropoka ropoka tu vitu vinavyoathiri brands ya Simba.
Ijapo anawakera yanga lakini maneno yake siyo ya hadhi ya Simba.Simba inatakiwa kuwa level nyingine kabisa.Waswahili kama Haji ndio wakati mwingine wanasababisha mambo yaende kiswahili swahili.
Hivi sasa anataka kuleta mgogoro kabla ya mechi ya derby sijui kauza mechi tayari?!Maana anataka kuwafanya mashabiki wanyong'onyee.
Mashabiki wengi wa Simba ninawaona wana busara kuliko huyo Haji
kwani manara kwanini asihamie Yanga au timu yeyote ile, kwani hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuwa mropokaji wa simba, na wanamlipa kwa kazi hiyo tu, hana uwezo kufanya kazi nyingine, na anavyotishia kuondoka ina maana ataenda kufanya kazi gani sasa mtaani, anawaringishia nini simba cha ziada ambacho akiondoka itakuwa imekula kwao? najiuliza tu.Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri
nadhani conflicts of interest kwenye swala la GSM ndiyo linamsumbua huyu mzungu mropokaji.Hivi manara anajua kimalikia kweli?
Naona hyo nafasi imemzidi uwezo afisa habari wa Simba daily kutukana Utopolo huo ni wastage of time, hafu kupata matangazo ya GSM Utopolo kavimba kichwa mi naona apumzike ili afanye vizuri Mambo yake personal
Wamwache tu Simba ili ajikite na GSM na Asas, sijui Azam na akitoka tu Simba huyo atapoteanadhani conflicts of interest kwenye swala la GSM ndiyo linamsumbua huyu mzungu mropokaji.
Simba ni kubwa kuliko mtu yoyote bana huyo manara asijione yeye ni Simbakwani manara kwanini asihamie Yanga au timu yeyote ile, kwani hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuwa mropokaji wa simba, na wanamlipa kwa kazi hiyo tu, hana uwezo kufanya kazi nyingine, na anavyotishia kuondoka ina maana ataenda kufanya kazi gani sasa mtaani, anawaringishia nini simba cha ziada ambacho akiondoka itakuwa imekula kwao? najiuliza tu.
Hapa mtani nakuunga mkono. Kama Simba inataka au inajiona ni taasisi kubwa lazima ihakikishe professionalism inazingatiwa. Mfanyakazi hawezi kuwa mkubwa kuliko Taasisi, haijawahi kutokea na kama ikitokea basi hiyo si taasisi.Nilipenda san hamasa zake. Lakini tatizo la watanzania mafanikio kidogo anajiona ana uwezo sawa au kuliko taasisi. Haji amekuwa kama limbukeni wa umaarufu. Nadhani muda wa kutafuta changamoto sehemu zingine ni sasa.
Ni kama anataka awe untouchable hivi, yeye nani asiguswe au kuhojiwa? Kama mwajiriwa na binaadam huwezi kuwa sawa muda wote. Kuna muda utatoka nje ya mstari mwajiri lazima afanye wajibu wake.
Akiguswa anapeleka taarabu insta,anakuwa kama mwanamke mwenye kiranga,kifinyo kidogo tu mtaa mzima anajua. Mdomo mwingi huponza kichwa...Akibaki bila Simba akili itamrudia
Ukiona utopolo anaandika kumponda CEO aliyeifikisha simba robo fainali na kuchukua ubingwa wa bara mara 2 mfululizo ujue utopolo kabanwa spana na huyu mwanadada.Huyu Binti atawaharibu kinoma pae Msimbazi.
Watu wengi waluo wahi fanya naye kazi wanasema bi mdada anapenda attention mithili ya samaki apendavyo Maji. Tangu aingie pale Klabuni amekuwa na wivu na namna Senzo anavyo zungumziwa sana na Media. Akafanya figisu zake Senzo akasepa.
Bado ikaonekana haitoshi, Media nyingi za Bongo zikawa zinaendelea kummulika Haji Manara. Kitendo hiko kimekuwa kikimkosesha sana raha kwa kipindi cha muda mrefu. Maana lengo lake kuu ni kuwa mtu maarufu pale Msimbazi kuliko mtu yeyote yule.
Sasa hivi anamchokonoa Manara, akijua wazi kabisa Manara akisepa sasa Luninga, TV na Redio zote zinakuwa zikimuangazia yeye tu.
Ninavyo ona huyu Binti atakinukisha sana pale Msimbazi, Itafika mahapa ili kuiokoa klabu Mo atatakiwa achague kati ya Mapenzi na Kabu.
Nasikia De la Boss ameahidi kama akifungwa na Yanga SC hapo tarehe 25 basi atatumia kichaka cha skendo ya Barbara na kuwaachia timu yako.
Ama kweli uhai wa mabadiliko kwenye timu yao bado unashikiliwa na watu wachache wenye nguvu nyingi.
Manara hasifishiki mkuu..Huyu Binti atawaharibu kinoma pae Msimbazi.
Watu wengi waluo wahi fanya naye kazi wanasema bi mdada anapenda attention mithili ya samaki apendavyo Maji. Tangu aingie pale Klabuni amekuwa na wivu na namna Senzo anavyo zungumziwa sana na Media. Akafanya figisu zake Senzo akasepa.
Bado ikaonekana haitoshi, Media nyingi za Bongo zikawa zinaendelea kummulika Haji Manara. Kitendo hiko kimekuwa kikimkosesha sana raha kwa kipindi cha muda mrefu. Maana lengo lake kuu ni kuwa mtu maarufu pale Msimbazi kuliko mtu yeyote yule.
Sasa hivi anamchokonoa Manara, akijua wazi kabisa Manara akisepa sasa Luninga, TV na Redio zote zinakuwa zikimuangazia yeye tu.
Ninavyo ona huyu Binti atakinukisha sana pale Msimbazi, Itafika mahapa ili kuiokoa klabu Mo atatakiwa achague kati ya Mapenzi na Kabu.
Nasikia De la Boss ameahidi kama akifungwa na Yanga SC hapo tarehe 25 basi atatumia kichaka cha skendo ya Barbara na kuwaachia timu yako.
Ama kweli uhai wa mabadiliko kwenye timu yao bado unashikiliwa na watu wachache wenye nguvu nyingi.
Sahihi kabisa mkuu,cheo cha manara sio msemaji labda tumpe uongozi kwenye vikundi vya washangiliaji.Lakini PR anatakiwa awe mtu professional na mwenye exposure ya kutosha.Na ndo maana kwa upeo wake mdogo hajui kuwa huwezi tenganisha taasisi na mfanyakazi wake ni sawa na kuwa mfanyakazi wa Voda lakini kutwa unapost vitu vya TIGO kwenye page zako alafu ukajitetea ni binafsi.wenzetu wamefika mbali kwenye accountability kiasi ukioa mke au ukiolewa na mme toka kwa taasisi shindani au pinzani unapigwa chini pamoja ni mambo yako binafsi.Manara anategemea awe PR wa Simba huku anaendelea kuwa balozi wa akina GSM au AZAM media alafu mwajiri wake aendelee kumchekea.Timu kubwa africa hazina cheo cha msemaji zina cheo kinaitwa team public relations and marketing director.. huyo ndie anaongelea timu kwenye media meetings na kufanya majukumu mengine ya timu upande wa kuitangaza timu na deals nzuri