Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ni kweli ndio maana mmechukua Makombe ya jamii na club bingwa [emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo wataandamana kwenda ikulu kwa mama kuwashitaki CUF....
Simba ni kubwa kuliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ndio maana mmechukua Makombe ya jamii na club bingwa [emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo wataandamana kwenda ikulu kwa mama kuwashitaki CUF....
Simba ni kubwa kuliko
Kwahiyo huu ndio ushindi wa Simba SC
Mkurugenzi Mtendaji wa Simba SC, Barbara Gonzalez ametangazwa kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Maandalizi ya Mashindano ya Vilabu vya CAF na Usimamizi wa Mfumo wa Leseni za Klabu
Barbara ndiye mwanamke pekee kwenye orodha hiyo na Rais ni Ahmed Yahya.
Hahahah[emoji23]Utopolo wataandamana kwenda ikulu kwa mama kuwashitaki CUF....
Simba ni kubwa kuliko
Sasa unalia nn wee shoustieeee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamati ya maandalizi ya mashindano ya vilabu, mbona haieleweki maana mashindano ya Caf Kwa ngazi ya vilabu ndio Yanaendelea kwasasa Sasa yeye kateuliwa aandae kitu gani, Mfumo wa Leseni kama Club licensing wenyewe ulisha tolewa muongozo tangu Zamani ni jukumu la FA za nchi mbalimbali kusimamia zoezi jinsi linavyo kwenda.
Isije ikawa mtu kampa Chaka lisilo na mashiko Ili aka funue miwani yake!!!
Ebu mleta Mada fafanua tuelewe majukumu yake hasa Yana husu mashindano gani? Caf champion league and confederation cup, Caf club women's champion league,New Elite Caf champion league?
Na bado unalia kwa sautiiiii, woiiiiiiiiih, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ujumla kinacho onekana Rais wa CAF ndugu Motsepe kashapewa udhaifu wote wa CEO na mshkaji wake Senzo, Kwakua wamegundua CEO anapenda Publicity (Umaarufu) wakaona waanze na Chambo kikubwa.
Kinachofuatia ni kumtakia majukumu mema, ila nampa Big up Motsepe, Motsepe mtu mmbad sana, Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake. Kinacho fuatia apo ni safari za marakwamara za vikao Tena inaweza kua nje ya Africa [emoji2][emoji2][emoji2]
CUF ya lipumba ama?Utopolo wataandamana kwenda ikulu kwa mama kuwashitaki CUF....
Simba ni kubwa kuliko
Popoma umepigwa kwenye mshono tulia, acha kutukana wazazi wa wenzio kwani utakutana na matahira wenzako nao watakutukania wazazi wakoMataahira ni wale waliokuleta Duniani
Ndugu umefikia kiwango hiki cha kumtukana Mungu. Watu wote huletwa duniani na Mungu.Mataahira ni wale waliokuleta Duniani
Hata Mimi pia ni Mzazi wa Wengine Pumbavu zako.Popoma umepigwa kwenye mshono tulia, acha kutukana wazazi wa wenzio kwani utakutana na matahira wenzako nao watakutukania wazazi wako
MImi niliyetukanwa nae siyo Mzazi wa Watu na sijaletwa na huyo huyo Mungu wetu sote?Ndugu umefikia kiwango hiki cha kumtukana Mungu. Watu wote huletwa duniani na Mungu.
Pumbavu mwenyeweHata Mimi pia ni Mzazi wa Wengine Pumbavu zako.
Mheshimiwa Rage, hebu njoo haraka huku uje umuone huyu shabiki wako wa kipindi kile..Babra fanya unavyoweza Utopolo wakiitoa makundi,waweke kundi moja na Al Ahly,Mamelod na TP Mazembe .