Pre GE2025 Barbara: Wapambe na Machawa wanaendesha siasa za Tanzania, watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu

Pre GE2025 Barbara: Wapambe na Machawa wanaendesha siasa za Tanzania, watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Aliyewahi kuwa CEO wa Simba Sports Club ameandika kupitia ukarasa wake wa X kuwa watu wanalipwa kuchafua wengine na kuwasifia wanaowalipa, Wapambe na Machawa wanaendesha Siasa Za Tanzania.

Je, ni upi mtazamo au maoni yako juu ya alichosema? Atakuwa anawalenga watu gani wanaolipwa kuchafua au kusiafia?.

"Wapambe na wachawa wanaendesha siasa za Tanzania (mitandaoni), it’s distasteful. Watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu. Utadhani kura zinapigwa online kwa hizi campaign. Nothing is subtle anymore.

Disorganized, uncoordinated blabber disguised as organic content"._Barbara 8/6/2024
Screenshot_20240608_105217_X.jpg
 
Aliyewahi kuwa CEO wa Simba Sports Club ameandika kupitia ukarasa wake wa X kuwa watu wanalipwa kuchafua wengine na kuwasifia wanaowalipa, Wapambe na Machawa wanaendesha Siasa Za Tanzania.

"Wapambe na wachawa wanaendesha siasa za Tanzania (mitandaoni), it’s distasteful. Watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu. Utadhani kura zinapigwa online kwa hizi campaign. Nothing is subtle anymore.

Disorganized, uncoordinated blabber disguised as organic content"._Barbara

View attachment 3011637
Amenena ukweli na uhalisia.
 
Mwaka wenu huuuu.....misimu hii 3 raha sana upande uleeeee
 
Aliyewahi kuwa CEO wa Simba Sports Club ameandika kupitia ukarasa wake wa X kuwa watu wanalipwa kuchafua wengine na kuwasifia wanaowalipa, Wapambe na Machawa wanaendesha Siasa Za Tanzania.

Je, ni upi mtazamo au maoni yako juu ya alichosema? Atakuwa anawalenga watu gani wanaolipwa kuchafua au kusiafia?.

"Wapambe na wachawa wanaendesha siasa za Tanzania (mitandaoni), it’s distasteful. Watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu. Utadhani kura zinapigwa online kwa hizi campaign. Nothing is subtle anymore.

Disorganized, uncoordinated blabber disguised as organic content".
_Barbara
8/6/2024
View attachment 3011637
Dada sasa ameelewa akili za mtu mweusi hasa wa chama tawala.
 
Aliyewahi kuwa CEO wa Simba Sports Club ameandika kupitia ukarasa wake wa X kuwa watu wanalipwa kuchafua wengine na kuwasifia wanaowalipa, Wapambe na Machawa wanaendesha Siasa Za Tanzania.

Je, ni upi mtazamo au maoni yako juu ya alichosema? Atakuwa anawalenga watu gani wanaolipwa kuchafua au kusiafia?.

"Wapambe na wachawa wanaendesha siasa za Tanzania (mitandaoni), it’s distasteful. Watu wanalipwa kuchafuana na kuwasifu. Utadhani kura zinapigwa online kwa hizi campaign. Nothing is subtle anymore.

Disorganized, uncoordinated blabber disguised as organic content".
_Barbara
8/6/2024
View attachment 3011637
Na kuchafuana kupo mpaka mitaani sio mitandaoni tu 🙄

Machawa wengi ni hao hao wa kutoka Chama Kikongwe chakavu 😳🤠😂
 
Back
Top Bottom