Barbra Hassan unaiharibu Power Breakfast

Barbra Hassan unaiharibu Power Breakfast

Mkuu u si ungepiga simu huko wanakotangazia ili wakuelewe vyema. Pia kuna sanduku la maoni unaweza kwenda kuwalalamikia.
Hapa unatujazia server tu
Watu kama nyiee Mara nyingi huwa mnakuwa wanga...ukikaaa kimya itakushinda nini....mbona watu tunachangiaa Ni kweli Anaboa Na kupitia hapa atajurekebisha. Obama tu anasemwa kwenye networks.kama sio yy Kusoma wapo watakaomfikishia By the way who is Babra?Ajirekebisheee au labda Mimba changa
 
Anaitwa Barbara huyo ndio ananipa sababu ya kusikiliza pb
 
Kuna kitu hamjagundua wandugu...wakati ule wa Hando Babra hakuwa huru kabisa na ni kwa sababu Hando ni very tricky alipokuwa ana deal na Babra....utani na maswali ya Hando yalikuwa yanapelekea Babra kujisikia Mnyonge...coz alikuwa anaanchwa sana...na kupelekea wasikilizaji wamuone mweupe upstairs.

Nimeanza kumkubali KP lakini bado kwenye mizani yangu yule Baba wa ki iraq ana ufahamu wa mambo zaidi ya KP...sikupata fursa ya kutosha kuwasikiliza KP na Hando walipokuwa pamoja...ila nahisi palikuwa hapatoshi...labda ndio maana usemi wa 'mafahari wawili...' ulitimia kwa KP kusepa...nilianza kuwasikiliza kipindi cha mwishoni kabla ya KP kuondoka.

So hii hali inayosikika kwa Babra sasa ni baada ya sasa kujisikia yupo huru...kama inavyotokea kwa Ndama anapoachiwa atoke nje kwa mara ya kwanza...ananyoosha mkia anakimbia, ardhi anakanyaga kama anataka kuchimba mashimo.

....na pia labda hivyo unavyosema amepandishwa cheo...au labda wamemuongezea mshahara..au kuna kitu wamemuahidi..au amefurahia kutoka kwa Hando...you never know...moyo wa mtu kichaka ati...ila kwa kweli sasa yupo over excited.
 
Mie pia nilikipenda kipind cha wik ilopita yaan kweny utan unacheka balaa maana wanasikilizana...ila babra akiwepo anakatisha kuongea, yan mpaka mnh...
 
Babra namkubali sana... mixa na kipanya unspata kachumbari ya matango..

na wengi wanaichukia clouds sababu wanajua... so far jamaa katoa maoni yake natumai ujumbe umefika kama kuna ukweli watajirekebisha ila Ujio wa masoud ni sawa na kumpata Messi
 
Ni kweli analosema mtoa mada kuna lkn wawe wanangalia sehem ya kuinterruptiana ñakumbuka kuna cku da babra alukuwa anaclarify swala la ky gel kp àkamzoñga sn she was real dísappointed and stopd. Anyway wapeañe nafaç tu íla kwa uyo dgo cezar namkubali sn they hv to nurture hm nakumbuka kunà dgo . moja alikuwa sports xtra kina shafii walikuwa wanambania sn na àlikuwa vzur upstairs now yuko azam. Kp naona ananza kukaa vzur kip t up bro.
 
Anakera sana huyo Barbara na tabia yake ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza uchwara. Hii ndio sababu kubwa nimeamua kuachana nao na kusikiliza Magic FM.


Magic FM wapo vizuri , hawaruki ruki kama clouds , pia hawana matangazo mengi....merry Edward , salum mkambala n.k wapo vizuri wanachambua mambo bila woga na wanasoma maoni ya watu kama yalivyo
 
Ni kweli analosema mtoa mada kuna lkn wawe wanangalia sehem ya kuinterruptiana ñakumbuka kuna cku da babra alukuwa anaclarify swala la ky gel kp àkamzoñga sn she was real dísappointed and stopd. Anyway wapeañe nafaç tu íla kwa uyo dgo cezar namkubali sn they hv to nurture hm nakumbuka kunà dgo . moja alikuwa sports xtra kina shafii walikuwa wanambania sn na àlikuwa vzur upstairs now yuko azam. Kp naona ananza kukaa vzur kip t up bro.
Badilisha hiyo keyboard yako.
 
Barbara anakosea kuchanganya kiswahili na english anapotangaza hii inaondoa weledi wa kazi yake, pia kutokana na aina ya vitu anavyoongea anatafsirika kama ni mtu mwenye maisha ya hadhi fulani ya juu, kitu ambacho sio kizuri kwenye jamii inayomsikiliza.
 
Wanawake wengi wakipata uongozi fulani. Inakuwa shida kisaikolojia wanakuwa na kunyanyasa wanaume na kuwaona kama sio mali kitu. Sio yeye tuu ata katika maofsi mengine, mwanamke akiwa boss. Kufukuzwa, kusengenywa, kuzarauliwa na kutukanwa avikwepeki
 
caesar ni mzuri ila anashindwa kutofautisha "L" na "R"
 
nadhani anajaribu kuonyesha yeye ndio boss kwa wenziE na kwa public pia...but hii inaonekana ni tabia kwa wadada wengi wakipata kipromotion flan kuna vijipembe kua vinaotaga fasta!!mbwembwe,mikwala mbuzi,kiburi kazini na nyumbani etc!jamani achene hizooooo
 
Hivi Babra Hassan ana mimba ? Mbona siku hizi amekuwa mkali sana? Kitu kidogo tu akitaniwa anafura redioni na kutoa maneno makali, Anashindwa kwenda sawa na Masoud Kipanya na kufanya kipindi kuonekana kuwa haina Combination nzuri ...

Kwa kipindi kama cha wiki nzima ambapo Babra hakuwepo kwenye kipindi alibaki Fredwaa, Masoud kipanya na Cizar kipindi kilienda poa sana wanataniana vizuri tu kwa flow nzuri kabisa tofauti akiwepo Babra..

Kuna huyu kijana Anaitwa Cizar ni kijana mkali sana ana sauti ya kiutangazaji ana flow nzuri na anayajua mambo vizuri ila huwa anafokewa fokewa sana na Babra redion na hadi humkata Mzuka tunajua kuwa Babra wewe ndio Boss wa PB kwa sasa lakini isiwe kiihivyo sasa wewe mwenyewe Babra ulilelewa na Wakina Masoud Kipanya na Fina Mango kama wangekuwa wana ku Treat hivyo kama unavyo m-treat Cizar usingefika hapo?

Tunajua Cizar alipata shavu la kuwa PB hapo ni baada tu ya kuwa analeta Magazeti ila hadi sasa Babra anamu-acknowledge Cizar kama ' MLETA MAGAZETI ' sio kitu kizuri sana na huwa anamuumbua umbua sana na hata muda mwingine humtishia kuwa atamfukuzisha kazi Wakiwa Hewani kabisa which is not Good....

Na Babra siku hizi amekuwa muongeaji sana tofauti na Enzi za zamani ambapo ye alikuwa anaongea sehemu muhimu tu zinazom fit na kuwaachia Uhuru Pj & Hando ndo mana wali shine vizuri sio sasa utakuta KP anaongea na Fredwaa / Cizar yeye anaingilia kati na kukuta watu wanne wote wanaongea inakuwa kelele sasa...

Naona PM wa Clouds aliangalie hili Na amkanye Babra la sivyo kipindi kinapoteza Muelekeo

NA USHAURI WANGU KWA CIZAR

Kijana yupo na kipaji kama nilivyoelezea mwanzo ila nae inabidi ajifunze ajue kipi cha kuongea na kwa muda gani sio kila kitu aongee japo kuwa anajua hivyo itamfanya Kuteleza kwa vingine maana hakuna anayejua kila kitu na kutamfanya kuonekana wale watu wanaojifanya wanajua kila kitu ' MUCH KNOW '

Big Up kwa MASOUD KIPANYA GENIUS I am proud of you na nimefurahi sana kuona umerudi vizuri kwenye kipindi na kuja na Segments mpya na kali kama ' UPUUZI WA MASOUD KIPANYA ' ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] pamoja na ' KUPIGA CHABO ' ...MASOUD KIPANYA KING OF MORNING SHOWS[emoji119]

Masoud Kipanya nae anajishaua sana. Anajiona mjuaji sana na wakati mwingine ni kama anawapondaga ambao hawajatoka maishani. Atoe ushauri kwa unyenyekevu. Sio kukejeli watu. Aliyempa yeye..........!
 
Back
Top Bottom