Barbra Hassan wa Power breakfast.

Hilo ni official tusi la hao mawingu fm...


Hata mchovu analitumia kila siku,leo james trupa kalitumia pia

"We ni fala niniiii" kwa sauti ya baba joniii
 
Kwa kweli Barbra yuko vizuri ila lazima azingatie weredi!!!
Byttheway MKURUNGEZI WA VIPINDI CLOUDS NI NANI???
 
Mwanaume wa dar katika ubora wako .. ukute umeshashiba supu ya pweza na chips kavu za buku unatoa stress kwa mama wa watu
 
YEAH ILA AACHE KUMWITE CESAR MPUMBAVU AU FALLA.!!!!!!!!!
Fala sio tusi, ni kama kumwambia mtu hajielewi, watangazaji waliobobea huchagua maneno ambayo yatachota attention ya hadhira, ile ni biashara ina mbinu zake. Kwa uelewa wangu.
 
Hilo ni official tusi la hao mawingu fm...
Hata mchovu analitumia kila siku,leo james trupa kalitumia pia
"We ni fala niniiii" kwa sauti ya baba joniii
Mchomvu sijawahi msikia akisema ivo,ila anasemaga'Unaumwa nini?!'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…