Barbra Hassan wa Power breakfast.

Mwanaume wa dar katika ubora wako .. ukute umeshashiba supu ya pweza na chips kavu za buku unatoa stress kwa mama wa watu
Achaga Uraru we soro!!Yaani Mimi niwe M'daresalade??Hii chalii ya Ngareroo Bablai,Kama umekuja na 100 ntakurudisha na izoizo famba wewe..!!Unaniita me Mdaresalade???
 
Kama ungeniomba ushauri mimi, ningekwambia yule humuwezi. labda mtokee Salama Jabr, wa mikasi.
Aaah Yule Gangster kinyama,Ma'manzi wa Chuga ni Ma'gangster kisoro tushawachoka ndomaana nataka Soft kaa Babra.
 
Sasa wewe hapo ndio umetukana..[emoji23][emoji23][emoji23]
'Fvck'sio tusi dingii ilivotumika kwenye iyo sentensi,,,Kwani mtu akisema'What a Fvck iz that?',hapo katukana??
 

Looks like a whore
 
Kwenye kiingereza nampa asilimia 200% kabisa she is perfect huwa nafurahi kusikia anavyotiririka

Mana huwa inakera mwandishi wa habari kukosea maneno
 
Kweli nimeamini yaani ukimsikiliza kwenye radio anavyoongea utafikiri ni mdada model kidogodogoo kumbe booonge sauti na mwili wake vitu viwili tofauti
 
Ethics zinasemaje? ?kipindi kipo hewani, yapi watangazaji wanayotakiwa kutamka. Tusihalalishe kila kit
Hili linaenda mpaka kwa akina Mondi na nyimbo zao! !
 
w
wewe si ndio babra mwenyewe? ok ntaanza kukufatilia
 
Kusema ukweli masdili ys utangazaji kayapunguza kujifamya mbabe mbabe ndani yakipindi kuna kipindi aliongea maneno ya kukeratangusikuhiyo nimemtoa thamani
 
Tatizo anapenda kucontrol Sana wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…