Barbra kurudi power breakfast, Fetty kwenda sport extra

Barbra kurudi power breakfast, Fetty kwenda sport extra

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Wiki hii hapa kazini CMG tumepewa taarifa kwamba Barbra Hassan kamaliza sabbatical leave hivyo anarudi kwenye pindi lake hivyo kumfanya dj Fetty kwenda kukiwasha sports extra. Wakuu yapi maoni yenu. Tuko na Kusaga hapa anasoma maoni.
 
Humu kweli utapata jibu? Nimesikia wana JF huwa hawasikilizi Clouds FM.
 
Clouz hamna kitu cku izi ,sijui Mara ya mwisho kusikiliza ni lini
 
Wiki hii hapa kazini CMG tumepewa taarifa kwamba Barbra Hassan kamaliza sabbatical leave hivyo anarudi kwenye pindi lake hivyo kumfanya dj Fetty kwenda kukiwasha sports extra. Wakuu yapi maoni yenu. Tuko na Kusaga hapa anasoma maoni.
Tatizo Ubunifu umeisha Clouds, yule Maganga hamna kitu kichwani na Kusaga hamna kitu kwakifupi Ruge alikuwa anaweza
 
Vp akirudi huko atatufanyia miundo
Mbinu gharama za nauli nk zipungue

Ova
 
Inaonekana clouds kwa sasa pamekuwa pachungu that's life rise and fall
 
Hivi hizi radio mnawezaje kusikiliza zaidi ya taarifa ya habari na michezo? ..........unasikiliza kipindi yaani matangazo hadi kero, zitawekwa jingle za matangazo matano dk 10, zikiisha jingle kila mtangazaji anaanza kurudia upyaa kuelezea tangazo moja baada ya lingine halafu wanataniana ujinga dk moja kisha dj mix dk 15.... Nusu saa imekwisha hakuna la maana...... NYAMBAFU KABISA
 
Sema collabo ya jahazi wameipatia sana ..Mussa ana link nao vizuri
 
Hivi hizi radio mnawezaje kusikiliza zaidi ya taarifa ya habari na michezo? ..........unasikiliza kipindi yaani matangazo hadi kero, zitawekwa jingle za matangazo matano dk 10, zikiisha jingle kila mtangazaji anaanza kurudia upyaa kuelezea tangazo moja baada ya lingine halafu wanataniana ujinga dk moja kisha dj mix dk 15.... Nusu saa imekwisha hakuna la maana...... NYAMBAFU KABISA
Kabisa mkuu kwa Sasa wameingiza kamari kila kipindi utasikia cheza mchezo pesa

Kama wasafi kipind Cha michezo n hovyo dk 30 ya muda wao n matangazo ya kamari

Kwa Sasa Bora usikilize TBC taifa kuliko hao akina fm academia
 
Hivi hizi radio mnawezaje kusikiliza zaidi ya taarifa ya habari na michezo? ..........unasikiliza kipindi yaani matangazo hadi kero, zitawekwa jingle za matangazo matano dk 10, zikiisha jingle kila mtangazaji anaanza kurudia upyaa kuelezea tangazo moja baada ya lingine halafu wanataniana ujinga dk moja kisha dj mix dk 15.... Nusu saa imekwisha hakuna la maana...... NYAMBAFU KABISA
Ni radio ya matangazo si ya burudan Kwa kweli..inaboaaa had baaas
 
Back
Top Bottom