babacollins
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 901
- 212
Miezi kadhaa iliyopita ilionekana kama mwisho wa enzi kwa Barcelona. Awamu za uongozi wa Sandro Rossel na Bartomeu ziliiacha Barca katika hali mbaya ndani na nje ya uwanja. Kurejea katika uongozi kwa Laporta kumebadilisha kabisa uelekeo wa mambo.
Laporta huyuhuyu ndiye aliyeiacha Barca ikiwa na mafanikio tele ndani na nje ya uwanja. Tayari kwa sasa Laporta amefanikiwa kumpata kiongozi anaeonesha dakika njema ndani ya uwanja, Xavi, na nje ya uwanja tayari Barca inavutia tena uwekezaji na kufanya usajili wenye kuzingatia hali ya kiuchumi kwa sasa na wenye tija kiwanjani.
Kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwa klabu zetu, mara nyingi katika mafanikio hata katika soka "siasa safi" na "watu" vipo changamoto kubwa huwa ni "Uongozi Bora".
Mchezaji kiongozi.
Laporta huyuhuyu ndiye aliyeiacha Barca ikiwa na mafanikio tele ndani na nje ya uwanja. Tayari kwa sasa Laporta amefanikiwa kumpata kiongozi anaeonesha dakika njema ndani ya uwanja, Xavi, na nje ya uwanja tayari Barca inavutia tena uwekezaji na kufanya usajili wenye kuzingatia hali ya kiuchumi kwa sasa na wenye tija kiwanjani.
Kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwa klabu zetu, mara nyingi katika mafanikio hata katika soka "siasa safi" na "watu" vipo changamoto kubwa huwa ni "Uongozi Bora".
Mchezaji kiongozi.