Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua aliwaza Nini,wale vijana Ile ilikuja kama ngekewa hata hawakuamini ila walipaswa kushinda nyingi sema maafisa ubashiri walioweka over ndio walikula pesaWatoto wa osasuna wamecheza mpira mzuri sana. Walitakiwa kushida zaidi ya goli tano endapo umakini ungekuwa Mkubwa..
Ila Kocha wa Barcelona jana kajichanganya. Nadhani atakuwa kajifunza kuwa hutakiwi kubadilisha timu kwa asilimia kubwa katikati ya ligi.
Kocha wa Barcelona baada ya game alijua kabisa yeye ndo kaharibu.Sijajua aliwaza Nini,wale vijana Ile ilikuja kama ngekewa hata hawakuamini ila walipaswa kushinda nyingi sema maafisa ubashiri walioweka over ndio walikula pesa
Yani amani yako kabisa uaiachia timu ya mpira?Anyway Jana osasuna kaonesha panapovuja japo Kila mtu analia na Torres ila mi nasema wote wamefungwa
4 goals sio joke hapa nangoja Leo atletico azingue tuanze kupumulia unyayo wa mtu