Watoto wa osasuna wamecheza mpira mzuri sana. Walitakiwa kushida zaidi ya goli tano endapo umakini ungekuwa Mkubwa..
Ila Kocha wa Barcelona jana kajichanganya. Nadhani atakuwa kajifunza kuwa hutakiwi kubadilisha timu kwa asilimia kubwa katikati ya ligi.