Barcelona kafia PSG

[emoji23][emoji23][emoji23] sawa sijui...ehee embu niambie hapa unatumia philosophy ipi ama barca mtatumia philosophy ipi kuwafunga PSG ya akina matuidi akina veratti magoli matano KWA SIFURI [emoji23][emoji23][emoji23] acheni ushabiki
Kiwanja hakijui huyu wa nyumbani au ugenini.baka anaweza pigwa nje ndani
 
Ilikuwa karamu ya Magoli.

Barca hakupata hata Moja la ugenini.

PSG wakibahatika kupata Goli Moja CAMP NOU ni zawadi tosha
Hata waspopata tyar
Wamesha qualify
 
Hata psg wabak 8 uwanjan
Bdo hawatafungwa 5:0

Wakifungwa sana n 2
 
Tusishangae kuona hii timu inafumuliwa msimu ujao na Messi kuuzwa lakini nani atamtaka messi wa 2017!? Labda aende China.
Maumivu ya kichwa huanza polepole na kama wasipo muona daktari hali itazidi kuwa mbaya.
Kwanza sasa hivi timu nyingi huko huko Spain zinawadindishia na wanashinda kwa manati au sare hii nayo kwa wachezaji wa barca inawasumbua sana na tatizo mfumo wao umesimikwa penye kiungo na viungo mahiri ndio hao kina xavi ambae mrithi wake hajapatikana iniesta maji ya jioni kule mbele inabidi tu wakimbie kimbie wapishi wa biriani hawapo labda ugali na ngisi hilo litawatesa sana na hakuna kitu kigumu kama kujenga timu mpya.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…