Barcelona vs Atletico Madrid leo usiku tarehe 21/1/2015

Barcelona vs Atletico Madrid leo usiku tarehe 21/1/2015

Daaah bonge la mechi,A Madrid piga hao wa kubebwa...

Katika mechi 13 za mwisho walizocheza Barca na A.Madrid, ni mechi moja tu ndio A.Madrid kashinda...

Mechi 7 Barca kamfunga A.Madrid na nyingine 5 wametoka droo...
 
Katika mechi 13 za mwisho walizocheza Barca na A.Madrid, ni mechi moja tu ndio A.Madrid kashinda...

Mechi 7 Barca kamfunga A.Madrid na nyingine 5 wametoka droo...

Team Barca bhana,historia haichezi mpira,kiwango cha AM kwa sasa ni bora,ushindi wa Barca Mara nyingi ni wa mizengwe na kubebwa na mbereko ya chuma..tusubili.
 
Shukran ndugu nimenunua azam tv wanaonyesha kupitia fox ndiyo nasubiria fundi keshafanya vitu vyake
 
Wote antimadridista wamekutana leo, lakini Atletico wakikutana na hawa wakatalan wanakuwa weupe tu, wao msimu mzima wanasubiri Real Madrid ndio wakomae.
 
Team Barca bhana,historia haichezi mpira,kiwango cha AM kwa sasa ni bora,ushindi wa Barca Mara nyingi ni wa mizengwe na kubebwa na mbereko ya chuma..tusubili.

Mechi inaendelea mkuu nadhani unaweza kuona timu bora hadi sasa ni ipi...
 
AT wanacheza mpira wa matunumba, rafu kibao za kijinga na refa kawabeba tu
 
Back
Top Bottom