Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
Alitangulia kujihami lakini, alipoulizwa alijibu yeye yuko cool sasa hivi na hata baada ya mechi atakuwa cool kwa matokea yoyote yale. Alijua watafungwa, alikiri Barca ni wazuri kuzidi wao.Heheh magazeti lazima yamponde sana kesho.