Barcelona wadaiwa kuhamia EPL, Wenger aanza kuhanya

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253

Kocha Arsene Wenger wa Arsenal, amesema kama FC Barcelona watakuwa ‘siriaz’ na uamuzi wao wa kuhama La Liga na kucheza Premier League litakuwa jambo zuri lakini wataongeza ugumu kwa kiasi kikubwa.

Barcelona wameonyesha nia ya kujiunga na Premier League kutokana na hali ya kisiasa inayoendelea nchini humo hasa wao wakionyesha kuunga mkono upande wa Catalonia.
“Sidhani kama wamefikia siriaz kiasi hivyo na kwenda wanataka kuhamia EPL.

“Lakini kama ni kweli basi ugumu utakuwa kwa kila mmoja wetu kwa kuwa tunawajua Barcelona na uwezo wao,” alisema Wenger.

Kwa hisani ya salehe Jembe
 
Patamu hapo lazima wenger astaafu kwa lazima na Jose msema ovyo naye atatimuliwa MU.
 
Aysee hii itauwa vibarua vya makocha weng epl
 
EPL ina timu 20 je huyo barca anaingia kuchukua nafasi ya nani?
Kama Barca anataka kuja epl itambidi ainzie kule ligi za vitongoji then apande league two, one, Championship ndo atue EPL
 
Watakuwa wachumba EPL wataolewa soon
 
Hivi timu inaweza kuhama kama taifa moja kwenda jingine (ligi moja hadi nyingine) kama kuhamisha kontena? Tujuzane hapa.
Catalonia ambako Bercelona iko wanapiga kura ya kujitenga na Spain,hivyo kwa muda ambao hawana uanachama FIFA inabidi watafute ligi ya kucheza.Siyo berca tu,kuna Espaniola nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…